Sharti la 1 usirudi tena JF, hii itasaidia kutokupata ushauri hasiMniombee nishinde vishawishi
AmetuliaMkeo katulia au?
Najitahidi kushinda vishawishiHuna hela
Tafuta hela ndio uje useme
Nisipokuja huku, sitaonana na nyieSharti la 1 usirudi tena JF, hii itasaidia kutokupata ushauri hasi
Hapana, huyo tutafutane baada ya miaka 25 kwenye kuozesha mtotoHahah Umetulia na yule anaye kuibia au?
Ndo uchukue maamuzi magumu sasa... Sisi hatuna faida yoyote sometime...Nisipokuja huku, sitaonana na nyie
Tutampokea tu, huwa hatukatai watoto; unataka nikupe wangapi? 😀 😀subiri nizae mtoto copy yako nimlete kwa huyo mkeo
Wakati mwingine kuwa jukwaani kunakufanya usizeeke mapemaNdo uchukue maamuzi magumu sasa... Sisi hatuna faida yoyote sometime...
Mxiuuu,, kwanza mimba siyo yako🤣Tutampokea tu, huwa hatukatai watoto; unataka nikupe wangapi? 😀 😀
Ni kupambana kuishinda nafsiUmeamua vyema
Hakuna namna, inabidi kujinyima nafsiAnguka nayo hiyoo .
HahahahaHapana, huyo tutafutane baada ya miaka 25 kwenye kuozesha mtoto
Hahahaha kwanini asikuoe wewe