Nimeamua kuwa muwazi

Antony Abel

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
264
Reaction score
142
A,alykum, bwana yesu asifiwe.
Natumain muwazima buheri wa afya!
Jina langu kama linavo jieleza, umri wangu ni miaka 20 naishi MOROGORO m/spaa&wilaya ya mvomero.
Hivo sio vibaya kama tutatambulishana umri na mahali tulipo.
Maana hii ya kuitana mkuu unaweza kumuita mwanao.
Ushirikiano wenu wana JF ni muhimu sana.

AKSANTEN.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…