MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,184
- 5,435
Siku ukiacha uongo tutakuwa pamoja. Plan zako ni zero kabisa go and start again with new plan.A,alykum, bwana yesu asifiwe.
Natumain muwazima buheri wa afya!
Jina langu kama linavo jieleza, umri wangu ni miaka 20 naishi MOROGORO m/spaa&wilaya ya mvomero.
Hivo sio vibaya kama tutatambulishana umri na mahali tulipo.
Maana hii ya kuitana mkuu unaweza kumuita mwanao.
Ushirikiano wenu wana JF ni muhimu sana.
AKSANTEN.
Nishauri ilipaswa niandikaje ili plan yangu angalau ingekuwa "A"Siku ukiacha uongo tutakuwa pamoja. Plan zako ni zero kabisa go and start again with new plan.
Ushaanza kuandika kama upo FBAKSANTE B CCTA
Hapana mkubwa pen ilikua inagoma kuandikaUshaanza kuandika kama upo FB
Sijajua maana yakeUnatoa na 0712?
Tafuta member anayeitwa Mwigulu Nchemba compare avatar na ID yake na yako. Wewe kama umetumwa na wasiojulikana rudi tena na jingine.Nishauri ilipaswa niandikaje ili plan yangu angalau ingekuwa "A"
DuhTafuta member anayeitwa Mwigulu Nchemba compare avatar na ID yake na yako. Wewe kama umetumwa na wasiojulikana rudi tena na jingine.
Ukikua utaelewaKunatofaut gan kat ya JF&FB
Ndugu yangu swal lako sio sahh, huwa napata msaada kwa watu tofaut tofaut kwa hivo utambulisho pia ni msaada tosha kwangu.Unataka uwajue watu humu. Watakusaidia nini?
Ya faa unielekeze ili nikue nikijua.Ukikua utaelewa
Hehehe aweke tuuone uwazi wakeWeka picha yako Mkuu tutambuane
Pia wakaitwa wasiojulikana.Dogo Uku ni kwa watu wasiofahamika, usichoelewa ni nini sasa!
Umefeli sana mkuu.
Njoo na plan B
Kweli dada nimekua na ninaelewa.Ukikua utaelewa