The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Aminia chalii yangu haw mabeberu wanazingua sanaMzuqa Sana arifuuuu
[emoji23][emoji23] we komandoo kipensi jiangalie wale sio ChademaMzuqa!
Yatosha nasema yatosha. Nimeweka tofauti zangu za kiitikadi nakumuunga Jemedari anayetuboreshea maisha yetu na kutupeleka uchumi wa kati. Lakini mabeberu wanataka kumkwamisha. Sitakubali rais wangu adhalilishwe nitakuwa mzareendoo daima. NAKINUKISHA MUDA SI MREFU NA HADI JUMATATU NDEGE YETU ITATUA JNIA SALAMA.View attachment 1270172View attachment 1270174View attachment 1270176
Huyu jamaa pamoja na mizuka yakeMzuka!
Yatosha nasema yatosha. Nimeweka tofauti zangu za kiitikadi nakumuunga Jemedari anayetuboreshea maisha yetu na kutupeleka uchumi wa kati. Lakini mabeberu wanataka kumkwamisha. Sitakubali Rais wangu adhalilishwe nitakuwa mzalendodaima. Nakinukisha muda si mrefu na hadi jumatatu ndege yetu itatua salama.
Boya wewe mpokee kijana kaamua kuunga juhudiHovyo
Kweli umeandika hivi?!!Kama Mzalendo wa kweli tumalizie kazi hapo Ulaya just one shot, problem solved, tutakushukuru milele na hata Mungu atakubariki Daima!
Bombardier imezuiwaNi nini mkuu wamezuia mwewe wetu?
Duuh...! Kazi ipo.Bombardier imezuiwa