Nimeamua kuiweka wazi orodha ya wanaCC ambao nina bifu nao.
1.
Mamndenyi.
Huyu mwanamama nimejitokeza kwake maranyingi kumpiga mistari, ameshindwa kunielewa.
Nimetumia mbinu zote, halali na zisizo za halali. Amenilea fedha zangu nyingi. Ila bado ananibania. Sasa ajiandae kwa lolote litakalomtokea.
2.
Bishanga.
Kutoka vyanzo vyangu vya habari ni kwamba vijisenti vyake vya mkopo vinawazuzua mabinti hapa mjini. Ameshanizibia riziki kibao. mf.
The secretary alinichomolea kisa huyu mzee. Sasa jiandae kufa ama kuwa kilema.
3.
Lady doctor
Huyu nilimpa pesa zangu anisaidie kumuweka sawa
The secretary, amesepa na pesa zangu. Mpare haibiwi kizembe namba hiyo. Jiandae kwa lolote.
4.
Arabela.
Huyu alikuwa pesa zangu nyingi tu. Kuna siku nilimpiga pombe, ilipofikia wakati wa kulipa fadhila akaniponyoka. Dawa yako ipo jikoni. Utanilipa tu.
5.
Erickb52.
Huyu ni mume wa
The secretary. Alinitolea maneno ys kuudhi baada ya kugundua kuwa namfukuzia mke wake. Nitakufundisha adabu.
6.
Arushaone.
Kosa la mke ni kosa la mke. Huyu jamaa ataingia kwenye kosa la mkewe
Lady doctor. Huyu pia anampa kiburi
Lady doctor. Subiria dawa yako imeshaiva.
7.
Baba V
Huyu ni mwenyekiti wa CC, nimeripoti matukio yote haya kakini hakuchukua hatua yoyote. Dawa yake imeshaiva. Jiandae kuinywa.
NB:
Nisilaumiwe siku hao niliowataja hapo juu wakikutwa na moja kati yafyatayo
a. Kumwagiwa tindikali lita 5.
b. Kupigwa risasi 70.
c. Kutekwa.
Nisilaumiwe.
=======================
UPDATE
Baada ya kujadiliana sana bibie
Passion Lady. Amenishauri niongeze adhabu.
1. Vifanyio vyao nitavihamishia USONI. Nimeshawasiliana na mtaalam anaanza kazi.
2. Kina mama nitawaingiza mwezini mwaka mzima yaani siku 365 mfululizo.
3. Nitawatengeneza kila wakikutana na wenza wao wanuke ma.vi.
4. Nitawafanya kila wakitamani kula tunda la uhuru akili ziruke.
NB.
a. Kina baba wote watashughulikiwa na
Passion Lady.
b. Kina mama wote watakuwa chini ya
Judgement.
Nawatakia kila la kheri.
Lazima tuheshimiane, hata kwa makusudi.
=======================
UPDATE.
Jana baada ya kubandika hili bandiko. Mwenyekiti
Baba V aliunda kamati ya usuluhishi. Ilikuwa chini ya
Mwenyekiti:
Mungi
Katibu:
Passion Lady
Wajumbe:
Cantalisia,
madameB,
Heaven on earth,
Mrembo by Nature,
watu8,
mshanajr, @Figganiga.
Mapendekezo ya kamati.
Baada ya kulichunguza hili swala la makini. Kamati ilipendekeza mambo yafuatayo
1.
Mamndenyi anipe UTAMU mwezi mzima. Yaani siku 30 asubuhi, mchana, jioni na Usiku.
2.
Lady doctor anilipe pesa zangu pamoja na kunipa utamu siku 7.
3.
Arushaone na
Bishanga wamepigwa faini ya shilingi moja wote kwa pamoja.