Nimeamua kwa dhati toka moyoni,naitaji msichana mwema atakayekuja kuwa mke mwema

Nimeamua kwa dhati toka moyoni,naitaji msichana mwema atakayekuja kuwa mke mwema

Joined
Oct 26, 2012
Posts
93
Reaction score
22
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,naishi DAR, nimejitokeza katika jukwaa hili ili kusema ya moyoni ya kwamba kwa sasa naitaji msichana ambaye kama mambo yatakuwa mazuri twaweza kujenga familia yetu.....awe na sifa zifuatazo


  • AWE ANAISHI DAR
  • AWE MCHA MUNGU, NA ANAYEPENDA KUONGELEA MAMBO IN POSITIVE WAY
  • UMRI KATI YA MIAKA 20-22
  • SUALA LA ELIMU NI KUANZIA FORM 4 NA KUENDELEA
MAWASILIANO YANGU NI

0753756956 au 0714303414
 
Back
Top Bottom