Asante mkuu umeniongezea nguvu mpyahongera sana mkuu. Ngoja waje..
Umeamua kutajirika mapema, utapitia changamoto ngumu na nyingi lakini ukivumilia utatoka kabisa kimaisha.
" retire Young, Retire Rich"
Nakupongeza sana. Umetoka kwenye utumwa. Mwanzoni utapata misukosuko na changamoto mbalimbali lakini ndo kusimama huko. Mtangulize Mungu utafanikiwa. Kuna siku utaajiri pia.habari zenu wanajamvi.Mwenzenu nimeamua niache kazi niliyoajiriwa nikajiajiri mwenyewe kutokana na sababu kubwa moja ya kutopenda kutumwa yani nikitumwa nachukia pia wafanyakazi wenzangu wananikera muda mwingi halafu mshahara ni mdogo sana naomba mnijuze changamoto za kujiajiri, pia nina mtaji wa laki tano sasa ni biashara gani naweza kuanza nayo
asanteni
kama upo serious njoo inboxhabari zenu wanajamvi.Mwenzenu nimeamua niache kazi niliyoajiriwa nikajiajiri mwenyewe kutokana na sababu kubwa moja ya kutopenda kutumwa yani nikitumwa nachukia pia wafanyakazi wenzangu wananikera muda mwingi halafu mshahara ni mdogo sana naomba mnijuze changamoto za kujiajiri, pia nina mtaji wa laki tano sasa ni biashara gani naweza kuanza nayo
asanteni
Asante sana mkuu nashukuruNakupongeza sana. Umetoka kwenye utumwa. Mwanzoni utapata misukosuko na changamoto mbalimbali lakini ndo kusimama huko. Mtangulize Mungu utafanikiwa. Kuna siku utaajiri pia.
Sawa mkuu asanteAngalia biashara unayopenda wewe kufanya
hahahahah asante sana mkuu mibasiKwa hongera kwa maamuzi sahihi. Upunguze pia kutamani kushika simu ya mwenzio
ndio mkuu sijachelewa sana naamin hivyoNdo unakumbuka leo kujiajiri.........................
hongera sanaKaribu sana mkuu me nilishaacha miez sita iliyopita karibu tufuge kuku
mimi kinachonikera ni kazi nyingi mshahara sion nimefungwa hata mambo yangu ya kifamilia sifanyi yani sifanyi chochoteJambo la maana sana mimi nikisikie mtu anatumikisha watu kisa ana vipesa naumia sana ,tena hawa maboss wana dharau sana.
mKaa na niniFungua genge
Weka vitu mixer,visivyoharibika kwa haraka.i.e. Mkaa.