Nimeamua niache kazi nikajiajiri

Acha kujitafutia shida. Huki sio kipindi kizuri cha kujiajiri. Utakuja kupata magonjwa ya moyo bure. Sasa kama elimu yako mbuzi kwa nini usitumwe tumwe? Kama hupendi kutumwa kaongeze elimu...
Acha kudharau binadamu wenzio!kauli zako tu zinaakisi ujinga ulionao,nani kakudanganya kuwa watu wenye credencials ndio wanaofanikiwa?matajiri wakubwa wa nchi yako hakuna hata mmoja mwenye PHD.
 
Acha kudharau binadamu wenzio!kauli zako tu zinaakisi ujinga ulionao,nani kakudanganya kuwa watu wenye credencials ndio wanaofanikiwa?matajiri wakubwa wa nchi yako hakuna hata mmoja mwenye PHD.
We kunguni! Unapata wapi ujasiri wa kunitusi? Watoto kama nyie ambao hamjui kuwa kuna wakubwa wenu ndio mnaoshia kuwa mzigo kwa taifa. Ni kwa sababu ya watu kama wewe ndio maana taifa hili haliendelei.
 
We kunguni! Unapata wapi ujasiri wa kunitusi? Watoto kama nyie ambao hamjui kuwa kuna wakubwa wenu ndio mnaoshia kuwa mzigo kwa taifa. Ni kwa sababu ya watu kama wewe ndio maana taifa hili haliendelei.
Kwakauli zako tu wewe mwenyewe mzigo.
 
Barikiwa.
 
Kujiajiri its not as simple as your thinking, lazima uwe umeanzisha kiji-project ambacho utahakikisha kina-run parallel na kazi yako ya kuajiriwa uliyonayo, sasa ukiona ka-project kanaleta walau 80% ya basic needs zako na unahisi kanahitaji sasa usimamizi wako ili kaweze kufikia 100% hapo sasa unaweza ku-shift.

Vinginevyo watu mliozoea mishahara hamna Technics za huku mtaani kwetu - utaadhirika - jipange kwanza.

Kwa Laki tano ulizonazo kazi zinaweza kukufaa kuanzisha project kati ya hizi zifuatazo:
1. kuuza vocha
2. kufungua genge la mboga-mboga
3. Mama nitilie
4. Juice ya miwa kwenye busy street
 
Tengeneza kipato cha Ziada Kwa kupata kitabu maalumu kitakacho kufanya ujue kutengeneza bidhaa mbali mbali muhimu za viwamdani nyumbani kwako na uweze kujiajiri. Kitabu hicho utakipata Kwa bei ya TSh.5,000 tu! Katika email au whatsup yako. Ni Pigie au whatsup 0762208190 AU 0718978295. Utachagua unacho taka kujiajiri kitaalam kupitia kitabu hicho.
 
Utakuwa ukiutegemea huo mradi wako ( Biashara Yako ) baada ya kuianzisha kuendesha maisha au una namna nyingine ya kuishi ? ( Nijibu nikupe ushauri )
Nina namna nyingine mkuu
 
Uamuzi mzuri mkuu cha msingi fuatilia ni biashara gani unaweza kumudu kuifanya na fuatilia eneo zuri kwa biashara. Katika yote usikate tamaa na tambua kuwa hasara ni sehemu ya biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…