Nimeamua nitafute demu wa kawaida.

Nimeamua nitafute demu wa kawaida.

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,129
Habari zenu wakuu! Baada ya kuzitafakari changamoto zinazoendana na mademu wakali, nimeamua nijivue gamba. Mademu wote wazuri niliopata kuwa nao au kuwafatilia wote ni pasua kichwa>kuteseka nimechoka na kikomo nimefika. Nataka nijikite kwa demu wa kawaida na usiniulize kawaida ni nini.
 
Kushusha passmark sio hoja, tazama mzizi wa tatizo ni nini kwanza.
 
Wakawaida ni wazuri hawana complication oh mara steers mata baga mara nipe ride hadi water world oh nipeleke movie oh nipe hele na unipeleke ml city nikafanye shopping khaaaa full kujifanya tawi za juu.
 
Ukitaka kumiliki demu mzuri tokea wafanyakazi au laa mwenye kujiweza,wenye pesa zao.videnti vitakumaliza.
 
Sasa ukute mwenyewe ni below kawaida alafu ulikua unahangaika na matawi...
Tafuta saizi yako!
 
Mchukue huyohuyo mzuri mchore usoni kimakonde atapoteza mvuto hakuna atakayekuibia beeestiii😛oa
 
Ni kweli mkuu!! Mimi nimeshachoka na hawa pasua kichwa!!

ni pasua kichwa na usipoangalia unapasuka kweli. Ni zaidi ya tatizo pale demu anapokuwa mzuri, anajijua kwamba ni mzuri na watu wanamsifia kwamba ni mzuri. Narudi FB
 
Habari zenu wakuu! Baada ya kuzitafakari changamoto zinazoendana na mademu wakali, nimeamua nijivue gamba. Mademu wote wazuri niliopata kuwa nao au kuwafatilia wote ni pasua kichwa>kuteseka nimechoka na kikomo nimefika. Nataka nijikite kwa demu wa kawaida na usiniulize kawaida ni nini.
ndio ivo))))))
 
aaah aah nimchore huku ye ananiangalia tu? Narudi FB

ni pasua kichwa na usipoangalia unapasuka kweli. Ni zaidi ya tatizo pale demu anapokuwa mzuri, anajijua kwamba ni mzuri na watu wanamsifia kwamba ni mzuri. Narudi FB

Naona mkuu tindikalikali unakuja na kibwagizo kipya cha Narudi FB mbona hujakatazwa mkuu kurudi huko, usijishuku.

:focus:

Hata hao wa kawaida sio wote wanafaa, angalia tu yule mwenye sifa unazopenda, tabia njema na unaweza kuishi naye milele yote!!
Kila la kheri mkuu katika kuchagua kwako.
 
Wa kawaida na maalumu wakoje hao hebu nipe hint!!!! Bucha zooote nyama ni ile ile tu!! Lazima ikichinjwa itatoa damu! Nothing more nothing special
 
Naona mkuu tindikalikali unakuja na kibwagizo kipya cha Narudi FB mbona hujakatazwa mkuu kurudi huko, usijishuku.

:focus:

Hata hao wa kawaida sio wote wanafaa, angalia tu yule mwenye sifa unazopenda, tabia njema na unaweza kuishi naye milele yote!!
Kila la kheri mkuu katika kuchagua kwako.

nashukuru mkuu kwa nyongeza ulizotoa, nitachanganya na zangu. Narudi FB
 
Maalumu wameshindikana. Sasa hivi wa kawaida, baadae utatafuta wa ajabu. Labda jaribu ushauri wa David Cameroon, unaweza ukapata ambaye si pasuwa kichwa.
 
Back
Top Bottom