adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Habari za mchana wana JF,
Nimekuwa shabiki huru katika soka la bongo kwa muda mrefu, sasa rasmi kwa akili zangu timamu nimeamua niwape sapoti na kuishabikia Azam Fc kemwa moyo mmoja, iwe shida na raha katika hali zote zile mimi Azam rasmi. Sababu kuu zilizopelekea kuchukua maaamuzi haya ni;
1. Nimeona ni timu ya nyumbani kabisa hata goli likifungwa Azama complex makelele nayasikia nikiwa ghetto hivyo ni vizuri kutoa sapoti kwa jirani. Hata ulaya timu ndogo lakini unakuta ina mashabiki wengi kwa sababu watu wa eneo husika huwa wanaweka uzalendo kwanza kusapoti timu yao ya mtaani.
2. Kutokana na mapinduzi waliyoleta katika soka la bongo, nia yao ya dhati ya kuendelea soka hapa nchini na uwekezaji wao katika soka la vijana nk naona hawa ni kupewa sapoti kubwa.
Ni furaha kubwa kujiunga na timu bora bidhaa bora nachukua uzi wao wa bluu kabisa niweke kabatini.
Nimekuwa shabiki huru katika soka la bongo kwa muda mrefu, sasa rasmi kwa akili zangu timamu nimeamua niwape sapoti na kuishabikia Azam Fc kemwa moyo mmoja, iwe shida na raha katika hali zote zile mimi Azam rasmi. Sababu kuu zilizopelekea kuchukua maaamuzi haya ni;
1. Nimeona ni timu ya nyumbani kabisa hata goli likifungwa Azama complex makelele nayasikia nikiwa ghetto hivyo ni vizuri kutoa sapoti kwa jirani. Hata ulaya timu ndogo lakini unakuta ina mashabiki wengi kwa sababu watu wa eneo husika huwa wanaweka uzalendo kwanza kusapoti timu yao ya mtaani.
2. Kutokana na mapinduzi waliyoleta katika soka la bongo, nia yao ya dhati ya kuendelea soka hapa nchini na uwekezaji wao katika soka la vijana nk naona hawa ni kupewa sapoti kubwa.
Ni furaha kubwa kujiunga na timu bora bidhaa bora nachukua uzi wao wa bluu kabisa niweke kabatini.