Kweli kabisa na ningependa kuwakaribisha wafuatao tuongeeze nguvu kulisapoti hili chama hapa JfMdau uliona mbali
Maaskini MAKOLO hamna kitu tena pale
Dah! Mimi na Young Africans Sports Club ni dam dam!! Kwakweli nilikuwa chama la Azam kwenye zile dakika 90 tu za kumchinja mnyama.Kweli kabisa na ningependa kuwakaribisha wafuatao tuongeeze nguvu kulisapoti hili chama hapa Jf
Scars OKW BOBAN SUNZU Shadeeya Greatest Of All Time GENTAMYCINE Tate Mkuu Labani og na DullyJr