Nimeanguka chooni leo. Kuna madhara yoyote naweza kupata?

Wife anahema kwa kuwa dawa aliyokuwekea imedunda, atakufa yeye sasa kuna watu hawarogeki.
 
Ushauri wangu: Anza kuogea chumvi ya mawe asubuhi na jioni ili kuharibu uchawi, nuksi na mikosi kama vipo mwilini. Na utumie siku 7 au hata zaidi.
 
Ukiskia kuanguka chooni sio hivyo ulivyoanguka
Ila inakuwa kama unachanganikiwa
 
Kama umenusurika huko hakuna shida inaweza kukupata mbeleni hivyo ondoa hofu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…