adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,033
- 15,638
Jamaa akiwa kalala chini na juu ya dabodeka kalala mdada!
Ilipofika nait kali jamaa akaanza kujivuta mdogomdogo kupanda juu alivyofika akawa anampapasa huyo dada!
Dada:haaahh wee kaka vipi unafanya nini huku juu??!!
Jamaa:daahhh nisamee bana nimeanguka
Ilipofika nait kali jamaa akaanza kujivuta mdogomdogo kupanda juu alivyofika akawa anampapasa huyo dada!
Dada:haaahh wee kaka vipi unafanya nini huku juu??!!
Jamaa:daahhh nisamee bana nimeanguka