Nimeanza hivi...

Nimeanza hivi...

Six Time

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2019
Posts
209
Reaction score
140
Habarini mabaharia wenzangu.

Leo ni juma pili kama kahali chahewa cha Arusha kalivyo cha baridi Leo nimeamua kuwasha motoo sababu wengi hawaaminiki .
Hapo nimeanza simple sababu nibado mbichii na anawenge sijaamua kuanza namashairi ya future wife sababu bado mdogo cha muhimu maombi yenu ndokila kitu sababu natabia nikikataliwa huoga nakunywaga sumu .
PSX_20200621_165232.jpeg
 

Attachments

  • PSX_20200621_164151.jpeg
    PSX_20200621_164151.jpeg
    8.5 KB · Views: 1
Huyu hatabiriki nshamuomba akanitega nkajipeleka mpaka kwao alafu ilikua usiku SAA mbili namzee yupo akanikaribisha ndan nkapiga sound kua nlikua napita tuu huyu nataka nimvutie geto nimfundishe biology kwanza
Dem hatongozwi hvo chief first ask for dinner [emoji1638] mdg mdg mpaka anajaa
 
Back
Top Bottom