mimiππ apoapo ningekuomba helaDuhhh Ila ww hauko hivyo
kuna watu ukiwaonea huruma inakua ni matumizi mabaya ya hurumaHata huruma
na jepesi sana , linaweka njia inakua wazi na nyeupe kwa mshambuliajijibu tamu sana hilo
mpe mbinu mwenzio kakwamana jepesi sana , linaweka njia inakua wazi na nyeupe kwa mshambuliaji
Hahahahahampe mbinu mwenzio kakwama
Mpaka hapa nilipofikia muhuni nakunywa juic huku nimekunja NNE View attachment 1485976
Uchune wiki 3, mwenyewe atakutafuta.