Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Alisikika kijana MMOJA
Njau bar pale mbezi beach wakati alipokuwa akila kiti.moto na familia yake
BAADA ya miaka Mingii kijana akitoka kazini anaitana na WALEVI wenzie na wazinzi wenzie wanakaaa bar mpaka saa saba usiku anamka asbh anaenda kazini
Alihama kwa mda Ile bar sasa majuzi KAJA na familia akawafwata wale members WALEVI wenzie akawambia JAMAN kwa sasa nasikia Raha sanasana
Niwaambie tu nikila nyumban HATA afya IMEANZA kubadilikaaa
Sio nilipenda kukesha na nyie kwa kweli n shetani alikuwa ameniingia
NAWAASA hasa sisi wenye familia jotahidini mkitoka kazini mkakae na familia zenuuu
KUshinda bar mpaka usikuu WA manane n KUJAZANA ujinga wapendwa tujuxane ukweli tu ndio maisha yenyewe haya na maisha hayarudi mara mbili
Akaishia
Familia kwanza tukachekaa sana kimoyomoyo NKASEMA kaka umepigwa bomu ikulu ngoja tuanze kuangalia watakaoanxa kubadilika
Njau bar pale mbezi beach wakati alipokuwa akila kiti.moto na familia yake
BAADA ya miaka Mingii kijana akitoka kazini anaitana na WALEVI wenzie na wazinzi wenzie wanakaaa bar mpaka saa saba usiku anamka asbh anaenda kazini
Alihama kwa mda Ile bar sasa majuzi KAJA na familia akawafwata wale members WALEVI wenzie akawambia JAMAN kwa sasa nasikia Raha sanasana
Niwaambie tu nikila nyumban HATA afya IMEANZA kubadilikaaa
Sio nilipenda kukesha na nyie kwa kweli n shetani alikuwa ameniingia
NAWAASA hasa sisi wenye familia jotahidini mkitoka kazini mkakae na familia zenuuu
KUshinda bar mpaka usikuu WA manane n KUJAZANA ujinga wapendwa tujuxane ukweli tu ndio maisha yenyewe haya na maisha hayarudi mara mbili
Akaishia
Familia kwanza tukachekaa sana kimoyomoyo NKASEMA kaka umepigwa bomu ikulu ngoja tuanze kuangalia watakaoanxa kubadilika