malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Kuharisha tena uteleziMadhara yanaweza kuwa kuharisha tu sababu hiyo juice ni mbichi
Eeeh mkuuKuharisha tena utelezi
Vip kuhusu mboga zenyewe hizi zinazokuzwa kwa madawa makali yakuulia waduduMadhara yanaweza kuwa kuharisha tu sababu hiyo juice ni mbichi
Kwani mboga mboga zinanenepeshaUtanenepa Sana Utakuwa Kama Kiboko
Nilikua sijui bossToa kimsamvu utakufa, huwa kina sumu endapo kitaliwa kibichi sharti kichemshwe kwanza
Yote yanaweza changiaVip kuhusu mboga zenyewe hizi zinazokuzwa kwa madawa makali yakuulia wadudu
Si salama labda kama umelima mwenyeweVip kuhusu mboga zenyewe hizi zinazokuzwa kwa madawa makali yakuulia wadudu
Nikweli hakika atakufa, kisamvu wengine hutumia kama dawa ya kuulia waduduToa kimsamvu utakufa, huwa kina sumu endapo kitaliwa kibichi sharti kichemshwe kwanza