Nimeanza Kunywa mkojo leo kujitibu madonda ya Tumbo-

Nimeanza Kunywa mkojo leo kujitibu madonda ya Tumbo-

Mtendaji wa kaya

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
334
Reaction score
58
Nimetumia dawa nyingi sasa naona sina jinsi!

Mzizi mkavu aliwahi kusema humu kwamba ukinywa mkojo wako mwenyewe mara mbili kwa siku kwa siku7 madonda yanapona!

Nimeanza kunywa mkojo wangu leo nitatoa mrejesho baada ya dozi kuisha! Kwakweli nasumbuka mno
 
aisee nakutakia tiba njema......mrejesho ni muhim
 
Kulikuwa na Waziri Mkuu fulani wa India yeye alikuwa anakunywa mkojo wake kama ni dawa lakini ni ule mkojo wa kwanza kabisa kabla ya kula kitu chochote.
 
Back
Top Bottom