Nimeanza kupata mashaka na vitu ambavyo vimefungashwa tayari kwenye utimilifu aidha kilo au lita

Nimeanza kupata mashaka na vitu ambavyo vimefungashwa tayari kwenye utimilifu aidha kilo au lita

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Wadau naanza kuwaza ukienda kununua vitu vilivyokuwa tayari ndani vifungashio tupimiwe tena nimenunua sukari kg 25 yaani nyepesi ata mjukuu wangu anaibeba mafuta lita 20 aisee unainua na kidole gesi hizi za kuletewa nyumbani na pikipiki nazo wiki imeisha yaaani tambi pakti moja njiti mia nimehesabi 82 ebu tujaribu kupima vitu tusibebe bebe tu.
 
Hilo mbona lipo tangu zamani sana.

Kuanzia mchele, unga na vyote vilivyopimwa.

Huwa wanafumua uzi na kupunguza wahuni sana halafu serikali imetulia tu.

Hao wahusika wangekuwa wanavamia na kushtukiza tu wangeona mengi sana.

Watu wamekosa ubunifu wanabaki kuchakachua
 
TPC YA KILO 50 NILIIPIMA VZR NIKAKUTA 48..af just imagine SI tunauza dukan faida 7000 toa hizo 2 Ni 5000 nauli 2000..
Workdone=0000000

Huwa nawahurumia kina mama wanaonunua mfuko wa unga halafu wanauza na faida haionekani bali hasara
Wanafikiri chuma ulete kumbe washenzi wameishafanya yao
 
Back
Top Bottom