Nimeanza mwaka kwa kupiga simu ya ma X!

Nimeanza mwaka kwa kupiga simu ya ma X!

Magoya2000

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2017
Posts
633
Reaction score
1,256
Habari,

Kuna namba za ma x nimepotezana nao kitambo. Nikaamua mwaka huu namba ambazo hazina umuhimu ni kbra kupunguza storage. Nikaanza kuzipiga, yaani kumbe bado hawajanifuta; zaidi wameniambia tutafutane. Naogopa maana ni muda mno umepita sana na sasa kudanga ndo habari ya mjini.

Vipi wewe x wako bado unawasiliana naye?
 
Ex aaangalie x kwenye simu ya ex kwa ajili ya sex lol🥋
 
Unakuaje na ex mwanamke haachwi unapunguza mawasiliano siku ukitaka kupiga unamtafuta
 
Kuna mmoja ni mlokole kuna siku naenda kwao kumjulia hali nafika usawa wa dirisha lake nasikia maombi, yaani laana aliyokuwa ananiombea mpaka leo sijaelewa nilimkosea nini yule khabith.

Ananiombea mavitu mabaya tupu kwa Mungu wake aisee! Nisifanikiwe, nidhalilike, yaan anatamani anikute sehemu nimepigika kinyama, shida tu nilipita nae wakati aliapa hawezi nivulia nguo mimi ni kama Kaka/sijui best yake/ akanitambulisha mpaka kwa wazazi yake mimi ni kaka yao wa hiyari,

Sasa kuna siku si akanishawishi nkle Kitimoto? Si nikala? Akafurahi sana, yaan mimi u anilisha kitimoto? Nikasema we ngoja. ( ki ukweli nakula kitambo) akajiona kawin, ikafika zamu yake nikamvitisha ganja, nikamfundisha kugida Konyagi, hahah. Akawa mchuga halisi sasa, starehe yake kubwa ni kumpiga mashine daily..sasa siku si nikamkumbusha oya sister ujue mimi ni kakayako wa hiyari sasa kama vipi we pita hivi na mimi vile. Akakubali fresh tu. Ndo siku naonda naskia a natoa shit kibao kwa Mungu
 
Kuna mmoja ni mlokole kuna siku naenda kwao kumjulia hali nafika usawa wa dirisha lake nasikia maombi, yaani laana aliyokuwa ananiombea mpaka leo sijaelewa nilimkosea nini yule khabith.

Ananiombea mavitu mabaya tupu kwa Mungu wake aisee! Nisifanikiwe, nidhalilike, yaan anatamani anikute sehemu nimepigika kinyama, shida tu nilipita nae wakati aliapa hawezi nivulia nguo mimi ni kama Kaka/sijui best yake/ akanitambulisha mpaka kwa wazazi yake mimi ni kaka yao wa hiyari,

Sasa kuna siku si akanishawishi nkle Kitimoto? Si nikala? Akafurahi sana, yaan mimi u anilisha kitimoto? Nikasema we ngoja. ( ki ukweli nakula kitambo) akajiona kawin, ikafika zamu yake nikamvitisha ganja, nikamfundisha kugida Konyagi, hahah. Akawa mchuga halisi sasa, starehe yake kubwa ni kumpiga mashine daily..sasa siku si nikamkumbusha oya sister ujue mimi ni kakayako wa hiyari sasa kama vipi we pita hivi na mimi vile. Akakubali fresh tu. Ndo siku naonda naskia a natoa shit kibao kwa Mungu
[emoji23]
 
Habari,

Kuna namba za ma x nimepotezana nao kitambo. Nikaamua mwaka huu namba ambazo hazina umuhimu ni kbra kupunguza storage. Nikaanza kuzipiga, yaani kumbe bado hawajanifuta; zaidi wameniambia tutafutane. Naogopa maana ni muda mno umepita sana na sasa kudanga ndo habari ya mjini.

Vipi wewe x wako bado unawasiliana naye?
Wangu walinitafuta mwaka mpya, mpka sasa naendelea na mmoja ninaypemda sana
 
Back
Top Bottom