[emoji3] [emoji106]Nimependa hiyo sentence yako ya mwisho....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wana sahau kanzu ni vazi sio kiashiria cha dini ya mtuHawa watu wanaoabudu nguo siwaelewagi kabisa.
brain is the beautiful part of the body.
Safi umefanya jambo jema,sasa zunguka na kwenye mapage ya udaku yalio repost hiyo post nako ukareport ili wafute huo ujinga.
-Ndumilakuwili-
We jamaa Muongo sana. Mbona Post bado ipo.
Angalia saa hapo juu. Nimescreenshot sasa hv saa 16:12
Sent by Samson Cyper
Mzigo bado Upo..
Unataka tu sifa,mbona bado ipo?
Post bado ipo inaendelea kukimbiza muda huuu ina comments 5917
G.Don-Master.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we baba ni muongo kama Dimond
Na kwenye simu zetu areport zifutwe piaSafi umefanya jambo jema,sasa zunguka na kwenye mapage ya udaku yalio repost hiyo post nako ukareport ili wafute huo ujinga.
-Ndumilakuwili-
Iko no 1 on trending [emoji2] [emoji2] [emoji2]Post bado ipo inaendelea kukimbiza muda huuu ina comments 5917
G.Don-Master.
Ingekuwa sio kweli Bi sandrah asingekaa kimya na hii ni Mara ya pili ommy ansligusia hiliaya mambo ni makubwa apo mwenye mama yake kama hakuwepo siku ya hiyo picha anafikiria mengi anatamani kumuuliza bi mkubwa ajue ukweli.Sema mkuu wasikusumbue hao vijana ukute kweli jamaa amemkaza au kiki ila waache hayo mambo ya wazaz yanauma
Ommy alichofanya ni sawa na serikali walichofanya kwa Lissu.
msenge weMuda sio mrefu Ommy Dimpoz, alimjibu Diamond baada ya Diamond kuimba verse nyingine ya pili.
Ommy alipost picha aliyopiga na Mama yake mzazi wa Diamond akichukua uhusika wa baba yake Diamond, yaani yeye ni mume wa mama Diamond.
Niliposoma sikupendezwa na caption alizotumia kumjibu Diamond akiwa anamdharilisha na Mama yake mzazi pia.
Nawashukuru instagram kwa kuwa responsive baada ya mimi kui-report hiyo post ya Dimpoz na kuifuta mara moja.
Nilii-report kuwa : It's inappropiate
Sababu : Harassment or bullying
Muhusika : Celebrity or Public figure
Napenda hii iwe ni operation endelevu kuanzia sasa pale unapoona watu wakivuka mipaka ya kujitambua, hususani hawa wanaoshindwa kuheshimu hata mama zao wazazi. Report tu! Siku hizi hii mitandao ipo very serious kwenye suala zima la kutokomeza ujinga.
Mabifu yenu muyamalize nyie kwa nyie. Mama zenu msiwahusishe kwenye ujinga wenu.
Umeona mkuu ukute ommy kaipiga kweli ingekuwa uongo bi mkubwa angetoa povu kali sana la umama ila kuna ka aibu flan anacho kwa ommy cha kuliwa ndo mana hasemiIngekuwa sio kweli Bi sandrah asingekaa kimya na hii ni Mara ya pili ommy ansligusia hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize na baadhi ya Wahaya, Waganda na West Africa wote wanaovaa kanzu huwa ni waislamu?Kwani kuvaa kanzu ndiyo uislam?
Wahaya na waganda kanzu ni vazi la kimila hata ukienda ukweni unatakiwa uvae kanzu au kwenye sherehe wababa wanavaaga makanzuMuulize na baadhi ya Wahaya, Waganda na West Africa wote wanaovaa kanzu huwa ni waislamu?