Nimeanza process ya kukomba pesa zangu Bank, Tozo hizi hapana!

Nimeanza process ya kukomba pesa zangu Bank, Tozo hizi hapana!

themagnificient

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
1,033
Reaction score
3,720
Nilijisajili kwenye benki kama Tatu hivi nikawa naweka akiba zangu na Benki ndio ilikuwa kimbilio la mwisho ila napo wamevamia, juzi kukaa tu kuchek bank statement nikakuta NMB wamenilima Tozo ya maana yaani pesa ambayo sikutarajia kabisa kukatwa maana kwenye miamala ya sim tayari nishakatwa tozo za kutosha tu

Nilivyoona NMB hali ngumu kwakweli benki nyingine ambayo nilishafanya miamala ya kutosha naona labda walikuwa wanasubiria ufike mwisho wa mwezi ili wakombe tozo ya kuanzia mwezi wa saba hadi wa nane nikaona kwa miamala ile nliyotoa kuanzia mwezi wa saba, tozo itakayokatwa ni disaster.

Nimetoa pesa zangu zote kabla hiyo tozo haijafika, liwalo na liwe pesa ni zangu ila Serikali iwe makini sana na haya matozo kila kona ni swala la muda hzi benki mtaenda kuziuwa, nalipa kodi Tra, kwenye sim mnanikata tozo, lita ya mafuta mmejaza tozo.

Bado tena na pesa zangu nlizoweka akiba nitoe halafu kodi mkate na tozo mchuke? Hapana
 
Ukitoa utakula mwenyewe ukiacha atakula huyo huyo braza white na mwisho zitaisha,
 
Nilijisajili kwenye bank kama Tatu hivi nikawa naweka akiba zangu na Benki ndio ilikuwa kimbilio la mwisho ila napo wamevamia, juzi kukaa tu kuchek bank statement nikakuta NMB wamenilima Tozo ya maana yaani pesa ambayo sikutarajia kabisa kukatwa maana kwenye miamala ya sim tayari nishakatwa tozo za kutosha tu

Nilivyoona NMB hali ngumu kwakweli benki nyingine ambayo nilishafanya miamala ya kutosha naona labda walikuwa wanasubiria ufike mwisho wa mwezi ili wakombe tozo ya kuanzia mwezi wa saba hadi wa nane nikaona kwa miamala ile nliyotoa kuanzia mwezi wa saba, tozo itakayokatwa ni disaster.

Nimetoa pesa zangu zote kabla hiyo tozo haijafika, liwalo na liwe pesa ni zangu ila Serikali iwe makini sana na haya matozo kila kona ni swala la muda hzi benki mtaenda kuziuwa, nalipa kodi Tra, kwenye sim mnanikata tozo, lita ya mafuta mmejaza tozo.

Bado tena na pesa zangu nlizoweka akiba nitoe alatu kodi mkate na tozo mchuke? Hapana
Dah! Sasa itakuaje?[emoji848]
 
Toa na ukahonge pisi ule Mbususu ufaidi kuliko kuwaachia hao wanaojua kutoza kodi kwa kila kitu.
 
Bank niliyopo hawakati kitu mpaka sasa na kila siku nachana ukuta au ndo wanasubiri muda ufike nao waanze kukata hizo tozo
 
Tozo zilipokuwa nyingi M pesa huko watu tulikimbia mpka vodacom wakapata hasara ya Asilimia 20+

Sasa linakuja swala na mabenki
 
Nilijisajili kwenye benki kama Tatu hivi nikawa naweka akiba zangu na Benki ndio ilikuwa kimbilio la mwisho ila napo wamevamia, juzi kukaa tu kuchek bank statement nikakuta NMB wamenilima Tozo ya maana yaani pesa ambayo sikutarajia kabisa kukatwa maana kwenye miamala ya sim tayari nishakatwa tozo za kutosha tu

Nilivyoona NMB hali ngumu kwakweli benki nyingine ambayo nilishafanya miamala ya kutosha naona labda walikuwa wanasubiria ufike mwisho wa mwezi ili wakombe tozo ya kuanzia mwezi wa saba hadi wa nane nikaona kwa miamala ile nliyotoa kuanzia mwezi wa saba, tozo itakayokatwa ni disaster.

Nimetoa pesa zangu zote kabla hiyo tozo haijafika, liwalo na liwe pesa ni zangu ila Serikali iwe makini sana na haya matozo kila kona ni swala la muda hzi benki mtaenda kuziuwa, nalipa kodi Tra, kwenye sim mnanikata tozo, lita ya mafuta mmejaza tozo.

Bado tena na pesa zangu nlizoweka akiba nitoe halafu kodi mkate na tozo mchuke? Hapana
Wewe una pesa gani?

Wenye pesa wapo kimya!
 
Mimi kuna muamala umeingia leo na ndani ya dakika 15 nimeenda kuutoa wote bank... Nimeingiza kwenye ka Sefu kangu kenye password home... Nimechagua bank moja tuu (Equity) ambapo naweka akiba ambayo huwa siigusi ni kuweka tuu (10% of any earnings ninayopata..)
 
Mimi kuna muamala umeingia leo na ndani ya dakika 15 nimeenda kuutoa wote bank... Nimeingiza kwenye ka Sefu kangu kenye password home... Nimechagua bank moja tuu (Equity) ambapo naweka akiba ambayo huwa siigusi ni kuweka tuu (10% of any earnings ninayopata..)
Ka account ka fungu la kumi hako 😂😂😂
 
Back
Top Bottom