Harry Barry
Member
- May 12, 2016
- 14
- 16
Wanandugu msaada tafadhali.
Ninafanya biashara Kariakoo duka la nguo za kiume na nimewekeza pesa nyingi Ila mambo hayaendi kabisa tatizo limeanza baada ya Corona maana nimeanza biashara mwezi wa 1 Corona ikaja kuharibu Kila kitu.
Msaada nifanye Nini ili nipambanie biashara yangu iweze kuwa katika Hali nzuri.
N.B: Napokea maoni hasi na chanya pia.
Ninafanya biashara Kariakoo duka la nguo za kiume na nimewekeza pesa nyingi Ila mambo hayaendi kabisa tatizo limeanza baada ya Corona maana nimeanza biashara mwezi wa 1 Corona ikaja kuharibu Kila kitu.
Msaada nifanye Nini ili nipambanie biashara yangu iweze kuwa katika Hali nzuri.
N.B: Napokea maoni hasi na chanya pia.