Nimeanzisha kijiwe cha kuzungumzia maisha ya watu baada kugundua nasemwa sana mtaani

Nimeanzisha kijiwe cha kuzungumzia maisha ya watu baada kugundua nasemwa sana mtaani

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
Hayawi hayawi sasa yamekuwa
Nimeamua kuanzisha kijiwe
Kijiwe cha kuzungumzia maisha
Ya watu mtaani kwangu baada
Ya kugundua kumbe mtaani
Kwangu watu wananisema
Vibayaaa.

Sasa nimefungua kijiwe cha
Kahawa na nimeweka matangazo
Mtaani karibuni kijiwe flani
Cha kahawa mje mfahamu
Maisha ya watu na habari za watu
Wa mtaaa huu mtazipata kijiweni
Kwangu yaani kazi ya hichi kijiwe
Ni kuzungumzia maisha ya watu
Katika huu mtaaa

Sasa katika hili sijui Kama watu
Wataendelea kunisemaa maana
Hicho kijiwe changu kinajaa watu
Balaaa mida ya jioni sasa wale
Waliokuwa wakinisema vibaya
Nasikia wengine wamebadilisha
Njiaa wanaogopa kupita karibia
Na kijiwe changu maana kila
Anayepitaa anahisi watu
Wanazungumzia maisha yake
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] duuuh vioja haviishi aisee
 
Hongera mkuu hiyo pia ni hatua ya viwonder
 
Waalike na hao wambea, Maisha magumu yamewafanya wanaume wengi kuwa na roho mbaya. Wakomeshe wakome.
 
Ni mwaka sasa hicho kijiwe bado kina uhai?
 
Back
Top Bottom