kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Hii haina tofauti na kuangalia pornography sasa. Kijana wewe ndio mwenyekiti Wa puli JF maake ww unacheki LIVEKwema jamani?
Kuna tabia ninayo na naona kabisa imekua kama addiction yangu.kwa kifupi napenda sana kupiga chabo watu wakiwa faragha,yani huwa nafurahia kuwachungulia watu wakiwa wanakulana,majirani zangu wote wsmeshanistukia na wengine wamenipa onyo tayari.
Je naweza kuacha vipi hii tabia wakuu?
Nafurahi tu kuona wanavyogegedanavp ukishapiga nin kinatokea?
Mazingira ya kawaida tuMazingira gani unaishi mtoa mada?!
Asante mkuuPole
Zingatia onyo ulilopewa..zingatia mno.. Kabla hujajifunza kuacha kwa njia ngumu na kumbukumbu mbayaKwema jamani?
Kuna tabia ninayo na naona kabisa imekua kama addiction yangu.kwa kifupi napenda sana kupiga chabo watu wakiwa faragha,yani huwa nafurahia kuwachungulia watu wakiwa wanakulana,majirani zangu wote wsmeshanistukia na wengine wamenipa onyo tayari.
Je naweza kuacha vipi hii tabia wakuu?
Siku anasimuliana maskani na wapiga chabo wenzie nilicheka mnoo.. [emoji23]Mtaani kuna jamaa yetu alikesha dirishani jwa mtu kapita kapiga chabo mtoto paja jeupee, akiangaliandio mida ya jamaa kurudi(6,6 ya night hiyo mwanangu), akajisemea kwa hali ilivyo jamaa akija hawezi acha mzigo kaganda hapo, mchizi karudi,akajua muda si mrefu kachukua maji kaenda kuoga jamaa yupo tu dirishani, karudi kachukua msosi kala mwana yupo tu dirishani anasubiri mechi ianze, jamaa kamaliza kula, kalala, mchizi anacheki saa 8 na ushehe anajua hapa alfajiri mwamba lazima abinjuke, kaganda anamchungulia mdada ni mlalavi.. Hiyo mpaka kumekucha [emoji23][emoji1787]
Siku anasimuliana maskani na wapiga chabo wenzie nilicheka mnoo.. [emoji23]
kyanyangwe Baharia mwenzako mpiga chabo HUYU HAPA.Siku anasimuliana maskani na wapiga chabo wenzie nilicheka mnoo.. [emoji23]
siku wapiga chabo mnasimuliana ulicheka sana...Mtaani kuna jamaa yetu alikesha dirishani jwa mtu kapita kapiga chabo mtoto paja jeupee, akiangaliandio mida ya jamaa kurudi(6,6 ya night hiyo mwanangu), akajisemea kwa hali ilivyo jamaa akija hawezi acha mzigo kaganda hapo, mchizi karudi,akajua muda si mrefu kachukua maji kaenda kuoga jamaa yupo tu dirishani, karudi kachukua msosi kala mwana yupo tu dirishani anasubiri mechi ianze, jamaa kamaliza kula, kalala, mchizi anacheki saa 8 na ushehe anajua hapa alfajiri mwamba lazima abinjuke, kaganda anamchungulia mdaada ni mlalavi.. Hiyo mpaka kumekucha [emoji23][emoji1787]
Siku anasimuliana maskani na wapiga chabo wenzie nilicheka mnoo.. [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtaani kuna jamaa yetu alikesha dirishani jwa mtu kapita kapiga chabo mtoto paja jeupee, akiangaliandio mida ya jamaa kurudi(6,6 ya night hiyo mwanangu), akajisemea kwa hali ilivyo jamaa akija hawezi acha mzigo kaganda hapo, mchizi karudi,akajua muda si mrefu kachukua maji kaenda kuoga jamaa yupo tu dirishani, karudi kachukua msosi kala mwana yupo tu dirishani anasubiri mechi ianze, jamaa kamaliza kula, kalala, mchizi anacheki saa 8 na ushehe anajua hapa alfajiri mwamba lazima abinjuke, kaganda anamchungulia mdada ni mlalavi.. Hiyo mpaka kumekucha [emoji23][emoji1787]
Siku anasimuliana maskani na wapiga chabo wenzie nilicheka mnoo.. [emoji23]
Huyu ni nuksi, maskani wakianza kupiga stori zao za kiduwanzi, maskani haichoshi ile [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtunukieni nishani ya Uvumilivu na Subira