Magari ya kukodisha
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 412
- 695
Kwa hiyo umekua mtu usiye julikana?Wakuu mambo vp
Mimi nimefungua akaunti mpya ya jamiiforums kutokana ile ya kwanza kuwa maarufu sana hadi nakosa uhuru.
Hi akaunti ya sasa ni mpya kabisa wala sijulikani naenjoy maisha ya jf
Kuna watu nawachora tu naona raha.
Je ulishwahi kufikiria uamuzi kama wangu
Official yani mtu nisiyejulikana ...Nina raha sanaKwa hiyo umekua mtu usiye julikana?
Ya kigogo sio maarufuHiyo Account yko ya mwanzo maarufu ni ipi? au kigogo 2014
Mkuu yaani hata nikitangaza kwasasa mimi ni mtu nisiyejulikana tuMbona kama sasa ndo unatafiuta umaarufu,maana ungekuwa hutaki huo umaarufu usingekuja kututangazia kuwa umefungua accopunt mpuya,ila hongera sana we jamaa maana ile account ya kwanza nasikia kuna jamaa alitaka akuwekee mtego naona umeuchomoka vizuri sana,
Mkuu yaani hata nikitangaza kwasasa mimi ni mtu nisiyejulikana tu
Inawezekana jamaa hii ni ya ngapi ?Wazee wa ID mbadala
Wapo wengi tu
Karib kwenye chama mbadalaWazee wa ID mbadala
Wapo wengi tu
YanneInawezekana jamaa hii ni ya ngapi ?