Nimebadilika sitaki shida na mtu, namrudia Muumba wangu. Maisha ya dunia na drama zake yamenishinda

Nimebadilika sitaki shida na mtu, namrudia Muumba wangu. Maisha ya dunia na drama zake yamenishinda

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Sitaki shida na mtu uongo, uongo na kuwanyasasa na kuwasema eti kisa Nina vijisenti naachana nao kuanzia leo naona maisha yangu ya hapa duniani yanaelekea ukingoni so hii ni time ya kumrudia muumba wangu wa mbingu wa na ardhi kwasasa nitakuwa mtu wa kuignore vitu na watu wa hovyo.

Maisha ya dunia ni mafupi si chochote wala si lolote kwa muumba ndiyo kuna ufalme wa milele yaani mtu mbio zote zile mwishowe unaishia Sakafuni yaani unapambana kutafuta mali halafu mwishowe wewe ukifa mali zako zinagombewa na mijitu ambayo haijui hizo mali umezipataje.

Nimekuja kugundua watu ni wanafiki sana katika hii dunia yaani kuna watu wanakuchekea machoni halafu Moroni wanakununia huu ni ujinga wa kiwango cha lami sasa sitaki kuwa tayari kuwa na wanafiki na mtu ni mnafiki akae mbali na mimi.

Maisha ni mafupi sana, tunatembea ili hali muda wowote ule tunakata moto, kwa hakika tumrudie muumba wa mbingu na ardhi..

"Use smoke screen to disguise your actions" Robert green
 
Ndio kwanza January kichwa kimepata moto, ikifika June lazima kilipuke.

Hakuna jipya duniani, kila unachokiona kilikuwepo kabla, Yuda Eskarioti alim- betray Jesus, je wewe ni nani?
 
Ndivyo ilivyo na Mungu kaiumba hivyo dunia, hivi umewahi kujiuliza tukiwa wote tuna mrengo mmoja yan yes ni yes no ni no hakuna mbadala maisha yangekuaje? Ndio mana pia kuna mrefu na mfupi, mwembamba na mnene, mweusi na mweupe.

Tiba kuu ni hiyo kupuuzia, puuzia yale unayaona yanakuumiza moyo, puuzia yale unaona haya hayanifai wala hayanihusu, ishi vile tumeamrishwa kuishi, mtihan ukikujia upokee kisha utambue kila mtihani una majibu yake na utayashinda majaribu.

Mwisho wa siku nikigundua sote ni wa Allah nakwake tutarejea bas haya maisha ya duniani si kitu.
 
Forever young. Ponda mali kufa kwaja...
 
TIMU HIZO JARIBU KUWEKA MKEKA MKUU, MAISHA HAYANA FORMULA
IMG_20221130_140511.jpg
 
Sitaki shida na mtu uongo, uongo na kuwanyasasa na kuwasema eti kisa Nina vijisenti naachana nao kuanzia leo naona maisha yangu ya hapa duniani yanaelekea ukingoni so hii ni time ya kumrudia muumba wangu wa mbingu wa na ardhi kwasasa nitakuwa mtu wa kuignore vitu na watu wa hovyo.

Maisha ya dunia ni mafupi si chochote wala si lolote kwa muumba ndiyo kuna ufalme wa milele yaani mtu mbio zote zile mwishowe unaishia Sakafuni yaani unapambana kutafuta mali halafu mwishowe wewe ukifa mali zako zinagombewa na mijitu ambayo haijui hizo mali umezipataje.

Nimekuja kugundua watu ni wanafiki sana katika hii dunia yaani kuna watu wanakuchekea machoni halafu Moroni wanakununia huu ni ujinga wa kiwango cha lami sasa sitaki kuwa tayari kuwa na wanafiki na mtu ni mnafiki akae mbali na mimi.

Maisha ni mafupi sana, tunatembea ili hali muda wowote ule tunakata moto, kwa hakika tumrudie muumba wa mbingu na ardhi..

"Use smoke screen to disguise your actions" Robert green
Remember "laughing each other is not LOVE."
 
Sitaki shida na mtu uongo, uongo na kuwanyasasa na kuwasema eti kisa Nina vijisenti naachana nao kuanzia leo naona maisha yangu ya hapa duniani yanaelekea ukingoni so hii ni time ya kumrudia muumba wangu wa mbingu wa na ardhi kwasasa nitakuwa mtu wa kuignore vitu na watu wa hovyo.

Maisha ya dunia ni mafupi si chochote wala si lolote kwa muumba ndiyo kuna ufalme wa milele yaani mtu mbio zote zile mwishowe unaishia Sakafuni yaani unapambana kutafuta mali halafu mwishowe wewe ukifa mali zako zinagombewa na mijitu ambayo haijui hizo mali umezipataje.

Nimekuja kugundua watu ni wanafiki sana katika hii dunia yaani kuna watu wanakuchekea machoni halafu Moroni wanakununia huu ni ujinga wa kiwango cha lami sasa sitaki kuwa tayari kuwa na wanafiki na mtu ni mnafiki akae mbali na mimi.

Maisha ni mafupi sana, tunatembea ili hali muda wowote ule tunakata moto, kwa hakika tumrudie muumba wa mbingu na ardhi..

"Use smoke screen to disguise your actions" Robert green
mbona kama unakimbia kufanya wema kwa watu ili uwe mwema kwa MUNGU ili usichomwe moto
au mi ndo nimeelewa vibaya
 
Kwaiyo mtoa mada unamrudia mungu wako kwa sababu umekiogopa kifo?
 
kumbuka shetani afati watu wasio na akili
 
Back
Top Bottom