WanaJAMII naomba mnipe hongera,
Leo nimemaliza mafunzo ya kuendesha gari salama salimini, nimejifunza vitu vingi sana, ikiwemo:
- kuingiza na kubadili gear!
- kukanyaga mafuta!
- kunyoosha sterling kufuata bara bara!
- kukata kona
- kuwasha indicators
- kuwasha full
Mwl wangu kanambia bado vitu vichache tu, ikiwemo kupiga honi na kurudi nyuma, kasema kupiga honi ni issue ya siku 1 tu, ila nyuma ndio kidogo kazi.
Ahsante Mwl
WanaJAMII naomba mnipe hongera,
Leo nimemaliza mafunzo ya kuendesha gari salama salimini, nimejifunza vitu vingi sana, ikiwemo:
- kuingiza na kubadili gear!
- kukanyaga mafuta!
- kunyoosha sterling kufuata bara bara!
- kukata kona
- kuwasha indicators
- kuwasha full
Mwl wangu kanambia bado vitu vichache tu, ikiwemo kupiga honi na kurudi nyuma, kasema kupiga honi ni issue ya siku 1 tu, ila nyuma ndio kidogo kazi.
Ahsante Mwl
Uwe makini make ajali nyingi zipo kwa nyuma ukirudi vibaya unagongwa...
WanaJAMII naomba mnipe hongera,
Leo nimemaliza mafunzo ya kuendesha gari salama salimini, nimejifunza vitu vingi sana, ikiwemo:
- kuingiza na kubadili gear!
- kukanyaga mafuta!
- kunyoosha sterling kufuata bara bara!
- kukata kona
- kuwasha indicators
- kuwasha full
Mwl wangu kanambia bado vitu vichache tu, ikiwemo kupiga honi na kurudisha gari nyuma, kasema kupiga honi ni issue ya siku 1 tu, ila kurudisha gari nyuma ndio kidogo kazi, natakiwa kuwa makini kwenye kulenga!
Ahsante Mwl
Siku hizi ni kuwa makini kote kote, hata mbele ajali kibaooo!Uwe makini make ajali nyingi zipo kwa nyuma ukirudi vibaya unagongwa...