Sijakuelewa kijana,sijaongelea love hapo kwenye comment niliyoitoa na wala sijasema kama wewe umekosea!!(sijakimbilia kukuhukumu kama ulivyoomba mwenyewe) Wewe umesema wote ni wife material ndio namie nikasema wife material gani hao waliokaa hapo na kusubiri kuchaguliwa kwani wako kwenye mashindano???!!!!????
Wadau,Msaada wa maamuzi tafadhali.
Kwanza msianze kunialaumu ,shauri kwanza,lawama baadae.
Hapa nilipo i have two girls in my place.Both are my girls.Mmoja alikuja asubuhi kwa taarifa nikawa nimekaa nae hapa,Mwingine akawa amekuja kwa kustukiza.Sasa hapa wamenibana kweli.Nimecheza na saikolojia zao hawajagombana hata kidogo,Zaidi na zaidi wanapiga stori ingawa wamefumaniana.Ila nina ultmatum ya kuamua namtaka nani.La sivyo hawaondoki hapa hata siku ngapi zipite.Wameweka msimamo na hawanielewi kabisa.
Naogopa ku side na mmojawapo kwa sababu nafikiria athari kwa mwingine zitakuwa kubwa.Msaada tafadhali wa mawazo
kama hao ni wanawake kweli hapo huna hata mmoja .ila kama ni vilaza watabaki
Leo j3. Wewe na hao wenzako mngepaswa kuwa kwa majukumu yenu! Sasa watu wa3 wote mmejikalisha hapo na kurudisha uchumi wa nchi nyuma! Au shift zenu za usiku?
Acha lawama Mkuu,heri yako wewe huna dhambi ya uzinzi
Wadau,Msaada wa maamuzi tafadhali.
Kwanza msianze kunialaumu ,shauri kwanza,lawama baadae.
Hapa nilipo i have two girls in my place.Both are my girls.Mmoja alikuja asubuhi kwa taarifa nikawa nimekaa nae hapa,Mwingine akawa amekuja kwa kustukiza.Sasa hapa wamenibana kweli.Nimecheza na saikolojia zao hawajagombana hata kidogo,Zaidi na zaidi wanapiga stori ingawa wamefumaniana.Ila nina ultmatum ya kuamua namtaka nani.La sivyo hawaondoki hapa hata siku ngapi zipite.Wameweka msimamo na hawanielewi kabisa.
Naogopa ku side na mmojawapo kwa sababu nafikiria athari kwa mwingine zitakuwa kubwa.Msaada tafadhali wa mawazo
Ebu futa ulichoandika chote then jaribu tena kuandia meaningful.
Wadau,Msaada wa maamuzi tafadhali.
Kwanza msianze kunialaumu ,shauri kwanza,lawama baadae.
Hapa nilipo i have two girls in my place.Both are my girls.Mmoja alikuja asubuhi kwa taarifa nikawa nimekaa nae hapa,Mwingine akawa amekuja kwa kustukiza.Sasa hapa wamenibana kweli.Nimecheza na saikolojia zao hawajagombana hata kidogo,Zaidi na zaidi wanapiga stori ingawa wamefumaniana.Ila nina ultmatum ya kuamua namtaka nani.La sivyo hawaondoki hapa hata siku ngapi zipite.Wameweka msimamo na hawanielewi kabisa.
Naogopa ku side na mmojawapo kwa sababu nafikiria athari kwa mwingine zitakuwa kubwa.Msaada tafadhali wa mawazo
Ningekuwa Rais wa nchi hii People of your category ni wa kunyongwa hadi kufa, nisingekuwa tayari kuongoza nchi iliyojaa wazembe na mazuzu.Usipitie na Usipost,potezea
kama hao ni wanawake kweli hapo huna hata mmoja .ila kama ni vilaza watabaki
yameshanitokea kama mala 5 hivi
swala hapo unamcheki mdhaifu anayebembelezeka unapiga chini kwa muda alafu una side kwa mlolofi.. Baadae unamwendea mpole unampiga sound siku nzima hadi anaelewa,unaendelea kuwa nao wote..