hamic mussa
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 227
- 20
Muulize yeye kama atakukubalia. Au mwombe rafiki yake uliyemtema akufanyie ukuwadi. Kila la heri.
Kabla ya kua na rafiki yake hukua unamfahamu??
huyo rafiki yake ntamuanzaje?
Unampeleka gesti. Baada ya raundi tatu akiwa kachoka unamwajiri kazi ya ukuwadi kwa rafikiye. Simple!
Hahahaha!! Wee kibabu banaa ujue mwenzako ana matatizo halafu unaleta habari za gestiUnampeleka gesti. Baada ya raundi tatu akiwa kachoka unamwajiri kazi ya ukuwadi kwa rafikiye. Simple!
nilikuwa namfahamu.
sasa kama ulikua unamfahamu kwa nini uwe na rafiki yake badala yake??
Hahahaha!! Wee kibabu banaa ujue mwenzako ana matatizo halafu unaleta habari za gesti
Hivi,una umri gani?
bac tu ilitokea kwamba baadae nlimchoka rafiki yake kwa tabia yake nkaanza kumpenda yeye.
we mwana ni mharibifu, bado unatamaa za ngono hujielewielewi ...anyway wanaume wengi tupo hivo, mpe masuprise ya kutosha hasa mazawadi ila usigusie sana swala la mapenzi kwake, ukimpa unauchuna as if you dont care, mwenyewe ataileta ila kama na yeye anakufil ofcoz, otherwise chunga asikufilisi, mwanaume lazima uwe flexible