kama ni dada anayejiheshimu hawezi kukubali hiyo dirty game yako!!
No thank you..
Muulize yeye kama atakukubalia. Au mwombe rafiki yake uliyemtema akufanyie ukuwadi. Kila la heri.
Kama hana akili atakukubali, kivipi upange watu kama perege. Halafu uko darasa la ngapi vile?
anajiheshimu kweli. So what can i do ili nisimkose.
duh!
......ndipo ilipo furaha yangu.
Kuna msichana mmoja kusema ukweli nampenda sana na nshawahi kumwambia ila bado hajanijibu.
Kiukweli nshawahi kuwa na uhusiano wa muda mfupi na rafiki yake wa damu hata uyo msichana alikua anajua,ila baadae tukaachana ndipo nilipoamua kumfuata na kumwambia kuwa nampenda. Na kiukweli nlikua nampenda tangu nikiwa na rafiki yake nd'o maana nkaachana na mwenzake ili nmfuate yeye. Hebu nimbieni hivi atanikubalia kweli? Nshaurini jamani.
🙂 mambo ya kusubiri upewe majibu kwani umekua mtihani wa form 6 huo? mambo ya kuomba na kusubiri ujibiwe ni mambo ya kizamani nyie mnaishi kwenye dunia gani? haya mambo hayana maswali wala majibu..yanakuja naturally
bac tu ilitokea kwamba baadae nlimchoka rafiki yake kwa tabia yake nkaanza kumpenda yeye.
sasa na huyo ukimpata si utamchoka tu, utatembea na wangapi zama hizi za maradhi. Usikubali kuongozwa na tamaa.
hahaha yaan khamis mussa ,unachekesha ,unasema mpaka unajihurumia ,,wewe msanii .