Nimechaguliwa IT IFM je! ni nitaruhusiwa ku-Apply Degree ya MD?

danmarc

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2012
Posts
567
Reaction score
115
Nimechaguliwa IT pale IFM ila sasa nimeamua niikache na kuomba diploma ya clinical officer. Lakini bado mwakani ninataka nijaribu tena kuaaply tena degree ya md au nursing. Sasa swali langu ni je nitaruhusiwa kuomba hyo degree mwakan wakati nimeshaingia diploma au itabidi hadi nimalize hii diploma kwanza ? Vigezo vya kujiunga na chuo kikuu kwa kutumia vyeti vya form six ninavyo ila mwaka huu niliponzwa na uchaguzi wa kozi na vyuo vyenye ushindani mkubwa
 
Kapge mkuu inaezekana. . Mfano kuna mwanangu kaaply mwaka huu MD, katemana na eductn udsm, yupo kampala Anapga md saiv!
 
Hivi kwann wengi wenu mna waza mkopo kwanza kuliko kujali professional unayo taka ku undertake ina faida gani kwenye maisha yako.
 
Hivi kwann wengi wenu mna waza mkopo kwanza kuliko kujali professional unayo taka ku undertake ina faida gani kwenye maisha yako.

Yeah that's all mkuu!Wengi tunashindwa kutimiza ndoto zetu kwa kizingizio cha umaskini wetu.Ndo maana hatuendelei tunaishia kulalama tu.Kapewa namna ya kufanya!Apige diploma aajiriwe kwanza then apate mkwanja ndio utakaomsaidia kusoma atakacho bila hata kuwaza mkopo.Na kwanza atakua na foundation ya kozi ambapo itakua simple kupata chance ya degree.
 

Braza unaishi tabata karibu na Maghorofa ya MPF nin ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…