ni wilaya nzuri sana ni mpya na ipo km kama 80 kutoka nyakanazi,hakuna njaa pamoja na mvua kuharibu mashamba miezi kadhaa iliyopita,wenyeji wake ni waha na ni watu wazuri ila ni wabishi sana (baadhi sabato).
kuna barrabara inajengwa kutoka kidahwe kuja nyakanazi kama km 300 hivi kwa hiyo mpaka kigoma kutakuwa na lami soon,usiogope kapige kazi.