unaweza still kwenda chuo kikuu...kwa matokeo hayo hayo
hebu nenda ofisi za admissions za vyuo watakueleza how..
kama una uwezo wa kujilipia,basi nenda chuo kikuu moja kwa moja...
vyuo vipo vingi vyenye sifa
anza na udsm,nenda tumaini
halafu nenda IIT......
KUMBUKA CHUO KIKUU SIO LAZIMA KUANZA NA DEGREE...
UNAWEZA ANZIA NA KOZI NYINGINE HALAFU NDIO UKASOMA DEGREE UNAYOTAKA
nawaunga mkono wote waliotoa maoni yao,
wasiwasi wangu ni kwa SAWEBOY anaficha nn wkt hili jukwaa letu ni la uwazi na ukweli.
Awe mwazi ili wengine nao wafaidike.Mnunu usikate tamaa bado una nafasi nzuri ya kusoma
nakupa mfano wa Hosea wa PCCB alikuwa karani wa mahakama
then akajiendeleza akawa hakimu ngazi ya mwanzo ,
hakimu mkazi na usisahau ni dr kabisa.songa mbele.
Nakupongeza kwa ujasiri wako wa kuweka wazi malengo yako yatatimia
na ukweli wako umekuweka huru.
mkuu we waza kuresiti mitihan usiogope na mungu akukunyima upande wa pili mashallah komaa na shule muulize shyrose banji akwambie umuhimu wa kurisiti mtihan..
Nnunu am so impressed; unajitegemea, ni mtegemewa, ni mama, alafu bado ni mwanamke mwenye nia na focus iliyolenga katika elimu - kweli si kazi ndogo .... HONGERA SANA. Wana Jf wametoa mawazo na ushauri mwingi ambao naamini ukiufanyia kazi (na naamini utaufanyia) utafanikiwa tu! Goodluck katika mipango yako yote...