#COVID19 Nimechanja Kinga ya COVID-19 na ninavyojisikia

#COVID19 Nimechanja Kinga ya COVID-19 na ninavyojisikia

pilau

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,595
Reaction score
451
Baada ya kujihoji na kuangalia matukio na baada ya kupoteza baadhi ya marafiki kwa muda mfupi ambao Vifo vyao Ni kupoteza fahamu ghafla, presha juu, upumuaji wa shida na sukari kujitokeza na kwamba magojwa hayo hawakuwa nayo hapo swali ndipo nilipoamua kuachana na ubishi... Nimepata Kinga ya COVID-19.

Ndani ya masaa 72 nikiambiwa nisinywe pombe na Aina yoyote ya ulabu. Kikubwa nilichokiona na kushirikisha hapa ni kwamba nilipata uchovu Kama dalili za homa japo nilikuwa najisikia kula vizuri na kutumia Panadol ndani ya muda huo kwa Sasa niko fresh
 
Hongera mheshimiwa. umechanjia wapi, ulijiandikisha kwanza au umeenda moja kwa moja na kupata huduma?
 
"Ndani ya muda huo",muda gani. Halafu badilisha hiyo username tutakuhisi vibaya,pilau ni kitu kitamu kinachopakuliwa na kuliwa
 
Pilau,pilao,pileu ,plateau,plateaus
 
Kwa hiyo hii ni taarifa ya habariii au ni maelezo baada ya habari.....
 
Umechoma kwakuwa umepata tenda ya kuigiza pilau huko nje au..?
 
Back
Top Bottom