Ahsante sana nimekubali mapenz haya lazimishwi..Dah! Pole ndugu, maumivu ya mapenzi ni makali sana... Unataka akufanyie kitu gani ndio uelewe kama hana mpango na wewe?? Mapenzi hayalazimishwi kaka.. Ukiendelea na huyp dada ujue utakuwa unalia kila siku. ACHANA NAE..
Yaani wadada, tukipata wapenzi wa kweli huwa hatuwaappreciate mpaka tupate magume gume, yatutende ndipo tunapata akili!
Kama ni stratergy shetani anayo, yaani kayaharibu sana mahusiano. Mkaka akiwa mzuri, mdada kichomi; Mdada akiwa mzuri, mkaka kichomi!
Tuna bahati mimi na my Eiyer yaani wote ni 1st class!
JF model couple!
Mwanaume unaumia kiasi hicho usikute ukiwa mwenyewe huwa unaliaga wewe.Kamata kikuku kichinje wewe uone utakavyonenepa wamejaa namna hii unaumiza kichwa dahh wanaume tunatofautiana sana aisee
JF model couple!
Nimechoka basi
Nina Mpenz na mda mrefu naye kama miaka 6 hivi lakini kwasasa nimechoka..
sababu ziko nyingi lakini kubwa zaidi nikunitishia kuvunja uhusiano kama kunakitu kaniomba ni meshindwa kumtimizia..
nimeshaa kaanaye mara nyingi kumwambia lakini habadiliki kabisa na hiyo inasababishwa kwasababu anajua nampenda sana
amefikia hatua ananiambia nisimtafute mpaka atakapo amua yeye kunitafuta,inapita mwezi nashindwa kuvumilia namtafuta ilituyamalize anakubali lakini siku tukitofautiana kidogo ananiambia kwani nilikuomba unitafute!
Nimechoka na matendo yake natakakumwacha lakini kwa kusema kweli nampenda sana
naomba ushauri wenu njia ya kumsahau kabisa...
Nawaonea huruma kweli wanaoanza mapenzi.
Nimechoka basi
Nina Mpenz na mda mrefu naye kama miaka 6 hivi lakini kwasasa nimechoka..
sababu ziko nyingi lakini kubwa zaidi nikunitishia kuvunja uhusiano kama kunakitu kaniomba ni meshindwa kumtimizia..
nimeshaa kaanaye mara nyingi kumwambia lakini habadiliki kabisa na hiyo inasababishwa kwasababu anajua nampenda sana
amefikia hatua ananiambia nisimtafute mpaka atakapo amua yeye kunitafuta,inapita mwezi nashindwa kuvumilia namtafuta ilituyamalize anakubali lakini siku tukitofautiana kidogo ananiambia kwani nilikuomba unitafute!
Nimechoka na matendo yake natakakumwacha lakini kwa kusema kweli nampenda sana
naomba ushauri wenu njia ya kumsahau kabisa...