Kila mkoa una fursa za kipekee kibiashara, Panua wigo kwa kuweka wazi ni aina ipi ya biashara unapendelea.Wapi pametulia na kwenye fursa za Biashara?
Unatutangazia nini sasa? Kiwanja, nyumba!Mie ni mfanyakazi katika Company X Kutokana na kuhamishwa mikoa mbalix2 ki kazi...
Kwa sasa naitaji kusettle Sehemu Moja na familia yangu.
Wakuu naomba ushauri wenu
Kati ya Dar(nina nyumba), Iringa nina kiwanja, Mwanza (nina kiwanja), na Tanga...
Wapi pametulia na kwenye fursa za Biashara?
Asante🙏
Mmmm sasa umeajiriwa utawezaje kujipangia iwe hapa kwa muda mrefu ?? Sijaelewa hapoMie ni mfanyakazi katika Company X Kutokana na kuhamishwa mikoa mbalix2 ki kazi...
Kwa sasa naitaji kusettle Sehemu Moja na familia yangu.
Wakuu naomba ushauri wenu
Kati ya Dar(nina nyumba), Iringa nina kiwanja, Mwanza (nina kiwanja), na Tanga...
Wapi pametulia na kwenye fursa za Biashara?
Asante🙏
Kwa kuishi na utulivu nenda Iringa.Mie ni mfanyakazi katika Company X Kutokana na kuhamishwa mikoa mbalix2 ki kazi...
Kwa sasa naitaji kusettle Sehemu Moja na familia yangu.
Wakuu naomba ushauri wenu
Kati ya Dar(nina nyumba), Iringa nina kiwanja, Mwanza (nina kiwanja), na Tanga...
Wapi pametulia na kwenye fursa za Biashara?
Asante[emoji120]
Hapana sina mpango wa kuacha kazi. Mara nyingi ninapo hama ki Kazi huwa nahama na familia kwaiyo. Naitaji kwa Sasa familia yangu itulie sehem moja hata kama nikihama mie ki KAZI mkuu nazani umenielewaHeshimu sana kazi hiyo uliyonayo Sasa
Biashara ni ngumu sana inaleta stress na kukausha Damu mwilini
Kama bado mwajiri anakupenda usijiroge kuacha kazi eti kisa unataka kuanzisha Biashara
Biashara zina wenyewe na zinahitaji muda mpaka uanze kuona faida
Umewaza mbali sana mkuu kwamba nikifa nisisumbue watu😹Nakushauri angali karibu na kwenu...Dar ni ya kichoko kama umeajiriwa Dar sio sehemu salama kwanza mda wa kwenda na kurudi ila kama biashara Dar magoli mwanzo mwisho.
Angalia karibu na kwenu Tanga ,Iringa ni best kama unategemea ajira tu kwa sababu maisha yapo chini sana.
Karibu na kwenu ili ukifa usisumbue watu gharama ya kusafirisha maiti.
Hapo nimekuelewaHapana sina mpango wa kuacha kazi. Mara nyingi ninapo hama ki Kazi huwa nahama na familia kwaiyo. Naitaji kwa Sasa familia yangu itulie sehem moja hata kama nikihama mie ki KAZI mkuu nazani umenielewa
Hongera kwakuzaliwA darDar ndiyo mpango mzima. Mikoani kulishana vumbi tu
Dar ndiyo mpango mzima. Mikoani kulishana vumbi tu
Mmmm sasa umeajiriwa utawezaje kujipangia iwe hapa kwa muda mrefu ?? Sijaelewa hapm
ShukulanHapo nimekuelewa
Kama ni hivyo mbona hilo halihitaji hata ushauri, kama watoto hawajaanza shule Endelea kuhama nao, kama wameanza waache Dar Es Salaam ambako ndiko kwenye bandari na uwanja wa ndege mkubwa kuliko viwanja vingine vyote TZ
Ni point ndogo ila ni muhimu zingatia hilo kwa kweli...Chagua sehemu ya kuweka makazi umauti huja ghafla.Umewaza mbali sana mkuu kwamba nikifa nisisumbue watu😹