Toni Toni
Member
- Nov 19, 2022
- 5
- 22
Shikamooni wakubwa zangu mdogo wenu naomba ushauri kidogo kutoka kwenu...
Mimi ni kijana mwenye miaka 24 naishi hapa dsm ila mpaka muda huu bado naishi nyumbani kwa wazazi, kwa umri wangu nshaona kuwa najiendekeza sana mana mpaka sasa ningekuwa najitegemea na mimi niwapunguzie mzigo wazee.
Ila kinachonkwamisha ni kwamba sijui ata nkiingia mtaani ntafanya inshu gani mana sina ata uzoefu wa harakati za kitaa.na ata mtaji wa kuanzia biashara yoyote sina
Kidogo nna ujuzi wa kompyuta tu. Bado npo chuo ndo nimeanza ngazi ya cheti mwaka huu..
Tuanzie hapo wakubwa zangu kwa mwenye ushauri wowote?.
Mimi ni kijana mwenye miaka 24 naishi hapa dsm ila mpaka muda huu bado naishi nyumbani kwa wazazi, kwa umri wangu nshaona kuwa najiendekeza sana mana mpaka sasa ningekuwa najitegemea na mimi niwapunguzie mzigo wazee.
Ila kinachonkwamisha ni kwamba sijui ata nkiingia mtaani ntafanya inshu gani mana sina ata uzoefu wa harakati za kitaa.na ata mtaji wa kuanzia biashara yoyote sina
Kidogo nna ujuzi wa kompyuta tu. Bado npo chuo ndo nimeanza ngazi ya cheti mwaka huu..
Tuanzie hapo wakubwa zangu kwa mwenye ushauri wowote?.