Naombeni ushauri... Nimechoka kuishi peke yangu natamani nipate mwanaume tuanzishe familia .... lakini kila anaenifwata moyo wangu unamkataa maana bado nampenda my x ambae aliniacha wakati bado namhitaji.
Naombeni ushauri... Nimechoka kuishi peke yangu natamani nipate mwanaume tuanzishe familia .... lakini kila anaenifwata moyo wangu unamkataa maana bado nampenda my x ambae aliniacha wakati bado namhitaji.[Njoo kwangu katika kisiwa cha upendo! Nakuhakikishia You wili regret!lol
Sijaelewa lolote hapa. Unahitaji mwenza?? Umeachwa?? Au bado unampenda xbf wako?? Wch is wch??
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sijaelewa lolote hapa. Unahitaji mwenza?? Umeachwa?? Au bado unampenda xbf wako?? Wch is wch??
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums