Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Nimechoka kujipendekeza. Kila siku mie ndo nianze kusalimia watu au kuanzisha convo kwa watu ambao mie sio priority kwao tena.
Wale watu ambao unatuma text inajibiwa baada ya wiki then wanaanza na topic nyingine Alafu Wewe Km bwege unajibu hapo hapo na uko fasta wakati wao wakijisikia Alafu unapewa sababu oh nipo bize au nn wakati muda wote mkwanja.
Nimechoka kila mtu ale ana zake; nimechoka urafiki wa aina Iyo ya kutumiwa Au hata kutafuta Mapenzi ya aina iyo bora niwe peke yangu na mawazo yangu tu.
Wale watu ambao unatuma text inajibiwa baada ya wiki then wanaanza na topic nyingine Alafu Wewe Km bwege unajibu hapo hapo na uko fasta wakati wao wakijisikia Alafu unapewa sababu oh nipo bize au nn wakati muda wote mkwanja.
Nimechoka kila mtu ale ana zake; nimechoka urafiki wa aina Iyo ya kutumiwa Au hata kutafuta Mapenzi ya aina iyo bora niwe peke yangu na mawazo yangu tu.