Nimechoka kujipendekeza

Nimechoka kujipendekeza

Ricky Blair

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
463
Reaction score
1,009
Nimechoka kujipendekeza. Kila siku mie ndo nianze kusalimia watu au kuanzisha convo kwa watu ambao mie sio priority kwao tena.

Wale watu ambao unatuma text inajibiwa baada ya wiki then wanaanza na topic nyingine Alafu Wewe Km bwege unajibu hapo hapo na uko fasta wakati wao wakijisikia Alafu unapewa sababu oh nipo bize au nn wakati muda wote mkwanja.

Nimechoka kila mtu ale ana zake; nimechoka urafiki wa aina Iyo ya kutumiwa Au hata kutafuta Mapenzi ya aina iyo bora niwe peke yangu na mawazo yangu tu.
 
Nimechoka kujipendekeza. Kila siku mie ndo nianze kusalimia watu au kuanzisha convo kwa watu ambao mie sio priority kwao tena.

Wale watu ambao unatuma text inajibiwa baada ya wiki then wanaanza na topic nyingine Alafu Wewe Km bwege unajibu hapo hapo na uko fasta wakati wao wakijisikia Alafu unapewa sababu oh nipo bize au nn wakati muda wote mkwanja.

Nimechoka kila mtu ale ana zake; nimechoka urafiki wa aina Iyo ya kutumiwa Au hata kutafuta Mapenzi ya aina iyo bora niwe peke yangu na mawazo yangu tu.
Katika maisha jiwekee kanunia ambazo ni rafiki na hazita kuumiza wala yeyote. Binafsi nina sytem yangu moja hivi hadi watu huwa wanasema mi nina roho ngumu.
Mf. Nikikukuta nitakusalimia ,,,ila ukinikita usiponisalimia nami nauchuna hata kama ni bosi wangu. Nikikusaidia usiposema asante wala siumii ukipata shida wakati mwingine hata kama ni uwezo wa kusaidia wala sihangaiki. Nitakupigia simu mara mbili tatu nawe usiponitafuta ahaaa najiongeza. Nikikuthamini nikakujali ukinidisapoint tu aaaah nakuwa mtu mwingine kabisa. Ni maisha ambayo kwa macho ya wengine naonekana jeuri,,roho mbaya lkn wale wanaonifahamu wananikubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechoka kujipendekeza. Kila siku mie ndo nianze kusalimia watu au kuanzisha convo kwa watu ambao mie sio priority kwao tena.

Wale watu ambao unatuma text inajibiwa baada ya wiki then wanaanza na topic nyingine Alafu Wewe Km bwege unajibu hapo hapo na uko fasta wakati wao wakijisikia Alafu unapewa sababu oh nipo bize au nn wakati muda wote mkwanja.

Nimechoka kila mtu ale ana zake; nimechoka urafiki wa aina Iyo ya kutumiwa Au hata kutafuta Mapenzi ya aina iyo bora niwe peke yangu na mawazo yangu tu.
pole sana twende pm ntajibu kwa wakati hakika
 
Nimechoka kujipendekeza. Kila siku mie ndo nianze kusalimia watu au kuanzisha convo kwa watu ambao mie sio priority kwao tena.

Wale watu ambao unatuma text inajibiwa baada ya wiki then wanaanza na topic nyingine Alafu Wewe Km bwege unajibu hapo hapo na uko fasta wakati wao wakijisikia Alafu unapewa sababu oh nipo bize au nn wakati muda wote mkwanja.

Nimechoka kila mtu ale ana zake; nimechoka urafiki wa aina Iyo ya kutumiwa Au hata kutafuta Mapenzi ya aina iyo bora niwe peke yangu na mawazo yangu tu.
Huo urafiki ni humu jf au?
 
Nimechoka kujipendekeza. Kila siku mie ndo nianze kusalimia watu au kuanzisha convo kwa watu ambao mie sio priority kwao tena.

Wale watu ambao unatuma text inajibiwa baada ya wiki then wanaanza na topic nyingine Alafu Wewe Km bwege unajibu hapo hapo na uko fasta wakati wao wakijisikia Alafu unapewa sababu oh nipo bize au nn wakati muda wote mkwanja.

Nimechoka kila mtu ale ana zake; nimechoka urafiki wa aina Iyo ya kutumiwa Au hata kutafuta Mapenzi ya aina iyo bora niwe peke yangu na mawazo yangu tu.
Usiishi kwa kumtegemea binadamu mwenzko
 
........roho nzuri za kujali watu ndo huwa zinatusumbua wengi, Sasa pale utakapojua kuwa upo ignored na wale unaowapenda, ndo unaamua kubadilika..........
........kitu cha kutambua ni 1.Mtu muhimu wa kumjali kwenye maisha yako ni wewe mwenyewe 2.jali watu toa msaada lakini usitegemee return yoyote kutoka kwao, hata iwe watoto au wazazi wako 3.usije ukadhani una umuhimu mkubwa Kwa watu, kubali na pokea all ways of their treatment to you, we ni muhimu kwako mwenyewe 4.Usijenge chuki utakapoudhiwa au kudharaulika, hiyo ndo hadhi yako, kama wewe ulipowaona na kuwaheshimu wengine(uliona wanastahili heshima kutoka kwako, wao hawaoni kama wewe unastahili heshima, you are such a normal person to them, ndo fungu lako, kubali) 5.life is full of disappointments with little amount of happiness, enjoy it, tolerate it...........
 
Tafuta kazi dogo, kazi za kutuma text kwa watu hovyo ni ya watu wasio na cha kufanya. Ambao hutegemea kupata furaha toka nje.
 
Back
Top Bottom