Nimechoka kulalia godoro chini

Nimechoka kulalia godoro chini

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Maisha haya yasikie tu kwa mwenzio

Muda mwingine tunajitahidi kupanga malengo na kuyapambanua yatimie tukipiga hatua 3 mbele tunavutwa na kurudishwa hatua 6 nyuma na matatizo yasiyo epukia

Nimeshalala sana chini na wife mwaka unaenda kukata Sasa bila ya kitanda

Naweka Nia mpaka mwezi huu unaisha nitalala juu ya kitanda hapa nina 35 elfu ngoja nianze kununua mbao niwe naweka mpaka zikienea napeleka kwa fundi sofa.

Hii kazi yangu kwa mwezi inaniingizia angalau si chini ya laki 2 ukitoa 80 ya Kodi ya ofisi na nyumbani,

Shida matatizo yananisonga japo kiafya tunamshukuru Mungu tuko poa
 
Mkuu!

Niliishawahi kupitia msoto kama huu miaka kitambo! Maisha yalisimama kabisa nikawa sisogei! Kana kwamba kuna mtu alipiga mstari nisivuke hapa! Kana kwamba kuna roho fulani siioni inayozuia nisipige hatua! Nikipata hela majanga yanaibuka na kunirudisha palepale (square one)!

Nikausoma mchezo kwa kutumia uzoefu, nikakomaa na kuwa ng'ang'ari mpaka nikatoboa! Ndio siri ya hii nickname "no retreat no surrender". Kwahiyo mkuu komaa jitathmini wapi unakwama! Wakati mwingine kuwa mbishi na usiendekeze huruma kwa mambo yasiyo na manufaa ya kukupotezea muda na hela!
 
Mbona kulala chini imekaa poa kuna zile shoo za chini zinakuwaga zina vibe sana kwanza nani mwingine umemwambia hauna kitanda maana chumbani mnaingia wewe na mke wako hata kama mnalalia mkeka hakuna atakayejua ni siri yenu
 
Maisha haya yasikie tu kwa mwenzio

Muda mwingine tunajitahidi kupanga malengo na kuyapambanua yatimie tukipiga hatua 3 mbele tunavutwa na kurudishwa hatua 6 nyuma na matatizo yasiyo epukia

Nimeshalala sana chini na wife mwaka unaenda kukata Sasa bila ya kitanda

Naweka Nia mpaka mwezi huu unaisha ntalala juu ya kitanda hapa nina 35 elf ngoja nianze kununua mbao niwe naweka mpaka zikienea napeleka kwa fundi sofa,

Hi kazi yangu kwa mwezi inaniingizia angalau si chini ya laki 2 ukitoa 80 ya Kodi ya ofisi na nyumbani,

Shida matatizo yananisonga japo kiafya tunamshukuru mungu tuko poa

Naomba nikutie Moyo ndugu, hiyo ni hali tu unapitia, utafanikiwa wakati sahihi ukifika,

Pia mshukuru Mungu wewe una hata godoro la kuweka chini.

Kuna mwingine amelala njaa usiku huu kwa kukosa hela ya chakula, wewe una akiba elfu 35, Mshukuru Mungu na ujipe moyo.

🙏🙏🙏
 
Mkuu ongera hata umelala Kwenye godoro. Kuna wenzio wamejiegesha tu road na hawajala na kesho wanaamkaa hawajue hata waende wapi, wewe Hadi kazi na mke unaye aiseee ..

Shukuru MUNGU Kwa hicho kdg..
 
Maisha haya yasikie tu kwa mwenzio

Muda mwingine tunajitahidi kupanga malengo na kuyapambanua yatimie tukipiga hatua 3 mbele tunavutwa na kurudishwa hatua 6 nyuma na matatizo yasiyo epukia

Nimeshalala sana chini na wife mwaka unaenda kukata Sasa bila ya kitanda

Naweka Nia mpaka mwezi huu unaisha ntalala juu ya kitanda hapa nina 35 elf ngoja nianze kununua mbao niwe naweka mpaka zikienea napeleka kwa fundi sofa,

Hi kazi yangu kwa mwezi inaniingizia angalau si chini ya laki 2 ukitoa 80 ya Kodi ya ofisi na nyumbani,

Shida matatizo yananisonga japo kiafya tunamshukuru mungu tuko poa


Nina nyumba room 3, bachelor, room 2 zina vitanda na magodoro, cha 3 kina godoro peke yako, chini, ndo na enjoy kulala mwaka wa 5 huu. Kulala chini jambo la kawaida sana.
 
Maisha haya yasikie tu kwa mwenzio

Muda mwingine tunajitahidi kupanga malengo na kuyapambanua yatimie tukipiga hatua 3 mbele tunavutwa na kurudishwa hatua 6 nyuma na matatizo yasiyo epukia

Nimeshalala sana chini na wife mwaka unaenda kukata Sasa bila ya kitanda

Naweka Nia mpaka mwezi huu unaisha ntalala juu ya kitanda hapa nina 35 elf ngoja nianze kununua mbao niwe naweka mpaka zikienea napeleka kwa fundi sofa,

Hi kazi yangu kwa mwezi inaniingizia angalau si chini ya laki 2 ukitoa 80 ya Kodi ya ofisi na nyumbani,

Shida matatizo yananisonga japo kiafya tunamshukuru mungu tuko poa
Asa ukaoa faster ili iweje!??
 
Back
Top Bottom