Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Afate ushauri huu japo siungi mkono uchepukajiUmejiandaa Kwa heka heka? Panga chumba maalumu elf Sabini tu self weka godoro lako na feni nunua na sabufa ya laki na nusu mwezi mzima unapiga shoo Kwa elf 70
Yaani hapo hakuna mateso atafute sehemu mbali kidogo na anapoishi mfano kama anaishi goba akapange tegeta au kunduchi hukoAfate ushauri huu japo siungi mkono uchepukaji
Yaani hapo hakuna mateso atafute sehemu mbali kidogo na anapoishi mfano kama anaishi goba akapange tegeta au kunduchi huko
π€£π€£π€£π€£Atakaejichanganya kati Yao.
Ikishindikana Hata Lotion/baby care ikufae kwny wkt mgumu huo ulionao.
Hiyo hela anayopoteza lodge yawezekana ikamudu kulipa kodi kabisa. Na lodge gharama za msosi pia ni kubwa zaidiYaani hapo hakuna mateso atafute sehemu mbali kidogo na anapoishi mfano kama anaishi goba akapange tegeta au kunduchi huko
Mchawi hela,kwani we huujuiNa kweli hela itakuwa inakusumbua ndiyo mana unasumbuka!
[emoji16][emoji16][emoji16]Huna ubavu huo acha mwembwe, mbona kakunyima na umetulia
nishakaribia huyo shemeji anajitenegeneza shimo kubwa sana.Karibu mkuu
ungeoa officially tuNimechoka kulipia lodge, nataka nipeleke mchepuko nyumbani ili wife akome kuninyima mbususu.
Wakuu naombeni ushauri! Nina mke lakini amekuwa mtata Sana kwenye kunipa mbususu Hali iliyopelekea nitafute mchepuko.
Sasa shida ni hela ndugu zangu,yaani kila ninapotaka kwenda kuuzagabua mchepuko lazima niwe na kihela Cha kutosha Cha lodge. Hiii nayo inanikata stimu. Leo nimejiuliza kwanini nilipie lodge wakati Nina kwangu, leo nimeamua niende na mchepuko home.Liwalo na liwe,,maana haiwezekani nilipie lodge wakati Nina kitanda kizuri home.
Najua wife anaweza kukiwasha lakini sijali,maaana yeye wenyewe hataki kunipa mbususu na hata akinipa inakuwa kimagumashi, anakupa huku limdomo kalikunja isivyokawaida,hatoa ushirikiano wowote ulee... Hivi katika halii hii Mimi nifanyaje wakuuu?
Au mnanishauri vipi wakuu? Niende na mchepuko au?
Kabisa kama Kwa mwezi anagonga tuseme mara sita hiyo Kwa lodge ya elf 40 ni 320,000/Hiyo hela anayopoteza lodge yawezekana ikamudu kulipa kodi kabisa. Na lodge gharama za msosi pia ni kubwa zaidi
Nenda nao ila tarajiwa kufungua Bucha hapo home muda wowote tangu utakapoufikisha mchepuo.πNimechoka kulipia lodge, nataka nipeleke mchepuko nyumbani ili wife akome kuninyima mbususu.
Wakuu naombeni ushauri! Nina mke lakini amekuwa mtata Sana kwenye kunipa mbususu Hali iliyopelekea nitafute mchepuko.
Sasa shida ni hela ndugu zangu,yaani kila ninapotaka kwenda kuuzagabua mchepuko lazima niwe na kihela Cha kutosha Cha lodge. Hiii nayo inanikata stimu. Leo nimejiuliza kwanini nilipie lodge wakati Nina kwangu, leo nimeamua niende na mchepuko home.Liwalo na liwe,,maana haiwezekani nilipie lodge wakati Nina kitanda kizuri home.
Najua wife anaweza kukiwasha lakini sijali,maaana yeye wenyewe hataki kunipa mbususu na hata akinipa inakuwa kimagumashi, anakupa huku limdomo kalikunja isivyokawaida,hatoa ushirikiano wowote ulee... Hivi katika halii hii Mimi nifanyaje wakuuu?
Au mnanishauri vipi wakuu? Niende na mchepuko au?
ashindwe yeye kuutendea haki ushauri wakoKabisa kama Kwa mwezi anagonga tuseme mara sita hiyo Kwa lodge ya elf 40 ni 320,000/
Wakati akipanga anaingia na kutoka anavyojisikia anaweza kuongeza kafridge kadogo Cha kuwekea Laga kupooza Koo baada ya show
Na kigesi kidogo Cha kuchemsha nyama na tundizi! Ikae kigheto kabisa asiweke vitu vya kisasa mmoja wa mchepuko asije geuka nyumba ndogo!Kabisa kama Kwa mwezi anagonga tuseme mara sita hiyo Kwa lodge ya elf 40 ni 320,000/
Wakati akipanga anaingia na kutoka anavyojisikia anaweza kuongeza kafridge kadogo Cha kuwekea Laga kupooza Koo baada ya show
Kuwa na adabuHizi sio akili za mtu aliye Oa.
Hii itakuwa kijana wa Form 2 D anajifunza kutumia JF.
Nakuhakikishia kwa maandalizi hayo kuna demu atahamia humo mda si mrefu atageuka mwenye chumba πNa kigesi kidogo Cha kuchemsha nyama na tundizi! Ikae kigheto kabisa asiweke vitu vya kisasa mmoja wa mchepuko asije geuka nyumba ndogo!