Nimechoka kulipia lodge, leo naupeleka mchepuko home ili wife akome kuninyima mbususu

Kuna jamaa ni mume wa mtu anatembea na mke wa mtu. Kwa hivyo nyumba za wageni ni hatari basi akapanga chumba mahususi cha kukutana huko wana mwaka wa saba sasa wanakamuana tu.
 
Jiandae kumwagiwa maji ya moto ukiwa umelala
 
🀣🀣🀣🀣 noma sana
Kuna jamaa ni mume wa mtu anatembea na mke wa mtu. Kwa hivyo nyumba za wageni ni hatari basi akapanga chumba mahususi cha kukutana huko wana mwaka wa saba sasa wanakamuana tu.
 
Mke akikunyima k basi kakuruhusu kuchepuka au kuoa mke mwingine, other wise labda awe na tatizo la kiafya
 
Muingize chumba Cha wageni kikubwa uwe makini ,ushahidi wakunyimwa mbususu hatuna ilikuwa vizuri kuona

Sasa , jipange kwenye mgao wa Mali
 
Piga Puli/punyeto mbele ya mkeo
mbona wakati unamwaga wa zungu jinyonge nyonge kama chatu atajirekebisha tu
 
Mkuu usirudi nyuma hakikisha unafanya hvyo tena mkaze mchepuko kwenye sofa Kisha jikoni,hakikisha huyo boya anashuhudia,nina uhakika habari yako itarushwa ITV.
 
Hivi mnapataga wapi raha ya kulala na mwanamke asiyekutaka. Yaani akikuvulia ngua wakati moyoni hakutaki unapata raha gani?
 
Nenda na mchepuko. Utupe mrejesho ukishinda! NAKUAPIA TUTAKUCHAGUWA KUWA RAIS WA KUDUMU WA CHAMA CHA WANAUME WALIOA TANZANIA. NA TUTAKULIPA MAFAO KWA KUCHANGISHANA MPAKA UTAKAPOENDA MBELE YA HAKI!
ALL THE BEST DUME!πŸ€™πŸ€˜πŸ™ŒπŸ€ŸπŸ‘πŸ™
 
Hiyo kawaida sana kwenye ndoa, inafika mahali mke anakubania tu.
Mpangie mchepuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…