we sema tu unatafuta bwana, sijui nimemsubiri nimechoka uongo tu, kwanini mnapenda kufake life nyie
kwani cha ajabu kipiHaaaaaaa angeweka tu bandiko straight anatafuta mpenzi
hili sharti gumu jamaa, akae naye siku zote hizo bilabila kwani kaka yake huyoKama ulikua hujampa tunda ni pm.
Huyo mchumba ako umeshaachana naye kwanza au bado unamshikilia hadi ukipata mwingine? Muombe sana Mungu afu usiwe na papara ya ndoa sana; japo unaonesha unaihitaji sana. Ukiwa desperate sana unaweza kujikuta unaishia kuumizwa tu na watakaotake advantage ya hitaji lako la ndoa . Sometimes Ni bora uchelewe kufika, ila ufike salama. Kila la kheri though