Salama tu dada......naomba niwe wa kwanza kukutakia heri ya mwaka mpya....
Ha ha ha ha aiseee km hujaoa si umtafute tu,!!we sema tu unatafuta bwana, sijui nimemsubiri nimechoka uongo tu, kwanini mnapenda kufake life nyie
hapana dada, sijakidhi kigezo kimojaHa ha ha ha aiseee km hujaoa si umtafute tu,!!
internal observationjuzi ulisema una miaka 22 leo 26...haya waoaji kazi kwenu mie nina mke.
Sijui nimlie vitu vyake? Anajipendekeza | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Anajiandaa kuvikwepa vikwazo vya kusafiri, soon waislamu hawataruhusiwa kuingia Marekani.kwa nn hutaki muislamu?.
Hahahaa hapa sina kaka kwakweli...
Hakuna kaka,wifi nae atabadilika tu kuwa kama mimi na weweEwaaaa....hapo umenena vyema!!!! Hivi dunia ya sasa kuna asiye mwongo ukitoa mimi na wewe???
Haaaaaaa angeweka tu bandiko straight anatafuta mpenzi
endeleeni kumponda na kumpa ushauri...!
@rubylove...ndo mimi huyooo PM kwako huku naimba kale kawimbo ketu, "mapenzi hayana mwenyewe...unaweza penda kijana au mzee....niite jina gani mpenzi...kuna muda namwomba Mungu angetuleta pamoja..."
mangi umepata bahatiendeleeni kumponda na kumpa ushauri...!
@rubylove...ndo mimi huyooo PM kwako huku naimba kale kawimbo ketu, "mapenzi hayana mwenyewe...unaweza penda kijana au mzee....niite jina gani mpenzi...kuna muda namwomba Mungu angetuleta pamoja..."