Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
๐ jidanganye hivyo hivyosisi ndo tuna pipe zimechangamka, nyie zimeanza kusinyaa๐mmeshafanya masihara mengi sana๐
Humu wapo wengi sana na ndio wanaongoza kwa matusi ya jumla na reja rejaHizi ID mpya nyingi ni za watoto wa 2000 kuja juu ๐ ๐ ๐
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watoto wa 2004 hiki ndio kinawapa jeuri kumbe?sisi ndo tuna pipe zimechangamka, nyie zimeanza kusinyaa[emoji23]mmeshafanya masihara mengi sana[emoji23]
Akiendelea kukuandama, au ukiona mtu anawaandama, plz nitag ๐ ๐ ๐Apuuzwe๐คฃ
Nawapenda sana na mnanipenda pia ๐ฅฐYaani huyo sijui kakataliwa na mshangazi humu, ndio maana ana hasira na sisi.
Maana toka mchana anatuponda tu bila sababu za msingi
๐ ๐ ๐ Akikua ataelewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watoto wa 2004 hiki ndio kinawapa jeuri kumbe?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mguu umezeeka[emoji23][emoji23] mimi na wewe hatupishani sana kwa jinsi nilivyoona ule mguu wako mzuri
tuko on demand watu wa early 20s na late teens ๐[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watoto wa 2004 hiki ndio kinawapa jeuri kumbe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana siku hizi kumekuja na mada za ajabu ajabu humu ndaniHizi ID mpya nyingi ni za watoto wa 2000 kuja juu ๐ ๐ ๐
Ndivyo unavyouona? Mbona bado unavutia sana ๐
Tumshtue au tumuache atashtuka mwenyewe? ๐คฃ๐ ๐ ๐ Akikua ataelewa
Yaani nitafanya hivyo fasta, uje unitetee๐Akiendelea kukuandama, au ukiona mtu anawaandama, plz nitag ๐ ๐ ๐
Nakazia๐ ๐ ๐ Akikua ataelewa
Wapo moto sana, imagine kuna new ID ilikuwa inamtongoza faiza foxy, tena imemuanzishia nyuzi kibao ๐ ๐ ๐Ndio maana siku hizi kumekuja na mada za ajabu ajabu humu ndani
Tumuache tu ๐ ๐Tumshtue au tumuache atashtuka mwenyewe? ๐คฃ
๐๐๐ aiseeWapo moto sana, imagine kuna new ID ilikuwa inamtongoza faiza foxy, tena imemuanzishia nyuzi kibao ๐ ๐ ๐