Mr Equalizer
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 611
- 727
Nilipomaliza kidato cha nne nikajaribu maisha yakawa magumu nikaona bora nirudi shule labda hali ingebadilika hivyo nikajiunga na high school baada ya kumaliza nikarudi kitaa kutafuta maisha yakawa magumu tena.
Nikaamua kwenda chuo kikuu nikasoma nikamaliza shahada ya kwanza lakini bado maisha ni magumu sana.
Juzi niliamua kurudi chuo kikuu, lakini sina uhakika kama elimu itanisaidia kumaliza huu ugumu wa maisha, labda nikomae tu kitaa nifute pesa. Elimu ya bongo inatesa sana lakini haitukomboi kwenye umaskini.
Nikaamua kwenda chuo kikuu nikasoma nikamaliza shahada ya kwanza lakini bado maisha ni magumu sana.
Juzi niliamua kurudi chuo kikuu, lakini sina uhakika kama elimu itanisaidia kumaliza huu ugumu wa maisha, labda nikomae tu kitaa nifute pesa. Elimu ya bongo inatesa sana lakini haitukomboi kwenye umaskini.