CHENGU MANURE
JF-Expert Member
- May 26, 2015
- 914
- 566
nimekuwa nikifuatilia maongezi hadi nimeona kuna kitu najiidhurumu. Nimeamua na mimi kuja humu.
naomba ukaribisho.
Nimejikuta nimeanza na wanandugu wa MMU maana siasa ninaweza kutolewa speed maana jamaa wako bize na rais mupya hawataki mashara kabisa.
hodi hodi hodi
naomba ukaribisho.
Nimejikuta nimeanza na wanandugu wa MMU maana siasa ninaweza kutolewa speed maana jamaa wako bize na rais mupya hawataki mashara kabisa.
hodi hodi hodi