MWALIM WA KIJIJINI
Member
- Aug 22, 2013
- 66
- 66
Vigezo na mashart nilizingatia sana matokeo yangu c mabaya na two
Vigezo na mashart nilizingatia matokeo yangu cmabaya nna two
alafu kitu kingine nasikia st.john majengo yake hadi taaluma haijatulia, habari hizi zina ukweli wowote?. Mi nilijaza bila kukifahamu vizuri chuo hiki.
majengo n taaluma imetulia.xema st.johns n msuli mwnzo mwsho.muda wa kupumzike n mdg xana.na unaweza kudisco ata hle semister ya mwsho.wapo strictly xana.they dnt care....
majengo n taaluma imetulia.xema st.johns n msuli mwnzo mwsho.muda wa kupumzike n mdg xana.na unaweza kudisco ata hle semister ya mwsho.wapo strictly xana.they dnt care....