Mwana wa Kitaa
Member
- Jul 20, 2011
- 50
- 4
Weka huo ujumbe ili tutoe haki sawa yamkini ulikua umemkosea
ujumbe wenyewe mbona wa salamu tu, ilikuwa hv: "vp mpenzi wangu siku hz umenisusa" na aliyeu2ma ni classment mwenzangu 2liyemaliza naye O'level.
sasa ujumbe huu ndo ulete matatizo mbona ni wa kawaida kabisa???
alikuwa anakutafutia sababu.
km angekupenda kikweli i SI sababu TOSHA ya kukununia/kukupotezea miez miwili
Weka mameno ya ujumbe uliomfanya binti akususe ili wadautupime uzito wake
Kweli kaka atuwekee tumpe maujanja